Mi sipendi tabia za watanzania kusifia sifia tu kwamba mtu anatumbua majipu kumbe anahangaika na vipere tu! Hivi leo hii serikali inaweza kutoa jibu gani kwa nini watu waliotajwa kwenye kashfa ya stanbic ya ule mkopo dola mil 600 hawajakamatwa achia mbali kuhojiwa?
SFO walifanya kila kitu na kututajia waliohusika katika wizi huo akiwemo Godfrey Mgimwa na Mustafa Mkulo, lakini serikali iko kimya lakini sisi tunaendelea na nyimbo za sifa tu. Serikali hii ina tofauti gani na zile zilizopita ambazo SFO ilipowataja akina Chenge hawakuguswa bali wakaishia kusimanga watanzania kwamba bilioni moja ni vijisenti?
Na haya tumeyaona ktk kukamata walioruhusu makontena kupita bila kulipa kodi lakini wenye makontena wakaambiwa walipe yaishe! (Ina tofauti gani na EPA?) Wale ambao walipewa siku 7 wawe wamelipa zimepita siku ngapi mpaka sasa?
SFO walifanya kila kitu na kututajia waliohusika katika wizi huo akiwemo Godfrey Mgimwa na Mustafa Mkulo, lakini serikali iko kimya lakini sisi tunaendelea na nyimbo za sifa tu. Serikali hii ina tofauti gani na zile zilizopita ambazo SFO ilipowataja akina Chenge hawakuguswa bali wakaishia kusimanga watanzania kwamba bilioni moja ni vijisenti?
Na haya tumeyaona ktk kukamata walioruhusu makontena kupita bila kulipa kodi lakini wenye makontena wakaambiwa walipe yaishe! (Ina tofauti gani na EPA?) Wale ambao walipewa siku 7 wawe wamelipa zimepita siku ngapi mpaka sasa?
Last edited by a moderator: