William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
Ndio maana mzee wa usalama wa DC, yuko kwenye maji ya moto over the Richmond ameulizwa alikuwa wapi?
Mzee Es said:Ndio maana mzee wa usalama wa DC, yuko kwenye maji ya moto over the Richmond ameulizwa alikuwa wapi?
Mkandara said:Kichuguu,
wakati tunapata uhuru mengi yalisemwa na kweli tulikuwa hatupo tayari kwa sababu waafrika wengi tulikuwa hatufahamu nini maana ya Uhuru.. leo hii inaonyesha wazi. Nyerere aliyajua yote haya na ndio maana ilipovumbuliwa gas na mafuta miaka ya 70's na mwanzo 80's Nyerere alidai ziachwe huko chini ardhini kwa sababu watu wangu hawana elimu wala uwezo wa ku-deal na mali kama hiyo. Wote wataacha kufanya kazi kwa sababu utajiri umepatikana!...Kwa mwafrika utajiri ndio maendeleo yenyewe.
TZ tunayo mafuta na wala msije danganywa!
Nyerere hakufahamu tu kuwa mbali na elimu tulikuwa bado na akili za kitumwa na hadi leo bado hatujaelemika zaidi ya elimu ya kitumwa!...Sasa Tazara nayo itauzwa kwa mpango gani hali ni mali ya jumuiya?... Zambia wapo radhi?... jamani mweee!...mimi nipeni hiyo Tazara club tosha kabisa nitafunga domo langu.kwi..kwi...kwi...
Kichuguu sii Mlima, nenda kwenye mada ya Idriss Rashid, leo nimeweka orodha ya viongozi walioshiriki kuipitisha IPTL kisha nambie kabaki nani?... na list itaendelea kesho. Kila unayemfikiria kuwa msomi mzuri utamshangaa ktk maamuzi.. JK, Mwinyi na Mkapa ndani mshikaji sasa hapa kweli tutafika?
kichuguu said:Nasikia kuwa wakati tunaelekea kupata Uhuru, kuna wazungu walimwambia Nyerere kuwa nchi yetu ilikuwa haijawa tayari kwa uhuru. Lakini Nyerere aliwashinda kwa hoja na mwishoni tukapata uhuru huo kabla ya nchi zote za afrika ya mashariki. .......