Mzee Mwanakijiji said:Nasikia jamaa wa RDC waliitwa ikulu leo jioni... naona mkataba utavunjwa na jamaa watapigwa persona non grata!!
That's more like what I'm expecting.
Mzee Mwanakijiji said:Nasikia jamaa wa RDC waliitwa ikulu leo jioni... naona mkataba utavunjwa na jamaa watapigwa persona non grata!!
Mzee Mwanakijiji said:Nasikia jamaa wa RDC waliitwa ikulu leo jioni... naona mkataba utavunjwa na jamaa watapigwa persona non grata!!
Jasusi said:Chingawanji,
Kalala alikuwa kizito mmoja katika mojawapo ya forums ( jina kapuni) Yeye alikuwa CUF dam dam. Lakini baada ya dada zake kushika hatamu za juu katika sirikali ya sasa amekimya. Mkao wa kula huo!
Zanaki said:mwanakijiji...inafanya kazi za photocopy,typing,kutengeneza business cards etc