Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
One down...... tic tac tic tac
Nadhani "katangaza nia ya kuachia ngazi..Kwa vile Mh.Muungwana hajatamka neno...basi bado Lowassa ni PM.'Vinginevyo tusubirie hadi kikao kitakapoendelea Saa 11 jioni.Hii itakuwa historia mpya Tanzania.
One down...... tic tac tic tac
One down...... tic tac tic tac
Hivi katiba inasemaje kama waziri mkuu akijiuzuru?? Je is it automatic that balaza lake linakuwa dissolved au ni rais ndiye anaamua kulivunja?? Naomba kuuliza.
Katiba haiko wazi kuhusu hilo,ila waziri mkuu akijiuzulu uwezekano mkubwa kwa rais ni kuvunja au kubadili baraza zima la mawaziri kama ilivyotokea kwa mwinyi miaka ya 1990. Lakini kwa hali ya sasa uamuzi ni wa Rais barza halivunjiki automatically labda kwa nchi ambayo waziri mkuu ndiye kama rais