Hatimaye, maombi ya Watanzania yamesikika!!
SteveD.
hili ni fundisho kwa serikali kuwa mawazo ya upinzani yasipuuziwe.mnaonaje waziri mkuu akiwa bernadi membe?
Mzee, post ya kwanza tu unapendekeza waziri mkuu. Au ndiyo kupima maji. Anyway, Membe is too junior for that post. Nafikiri hata Confidence hana, atakuwa anamuworship JK tu. Si unakumbuka alimtetea kuhusu u-Vasco dagama wake. Mimi nafikiri apewe hat mzee Malecela atuonyeshe alichokuwa anang'ang'ania urais. No mzee mno. May be Mwandosa. Mtu atakayeweza kufanya kazi bila kumtegemea JK. Otherwise, tutakuwa tumeruka mkojo na kukanyaga mavi.
Tanznia iliishi kwenye giza kwa muda wa mwaka mzima bila umeme??
Wale waliohusika katika richmond wafirisiwe kwa sababu richmond ilikuwa ikilipwa mil 152 kwa mwezi?/ je hizi hela si zingetengeza na kupanua mabwawa yetu pia hata kukodi umeme uganda kama kenya wanavyofanya.
Kamati tunaipongeza,Na spika azidi kuumbuka kwani alikuwa akizuia kila jambo la wapinzani??
Watanzania tuamke?? Waziri anajilimbikizia mali,je wa chini huku halmashauri wataacha??
Tanzania tuamke hasa kanda ya ziwa tumelala sana!1
CCM mnaona ya 2008.
Peace!!
is this trueeeeeeeeeeeee? leta evidence bwana..
is this trueeeeeeeeeeeee? leta evidence bwana..