johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,819
- 141,727
Steve Mengele amesema yeye hajala hela za rambirambi za msiba wa Agnes Masogange bali fedha hizo zimehifadhiwa na wanakamati wake kwani yeye alikuwa ni mwenyekiti tu. Kamati aliyounda ilikuwa na watu watatu ambao ni Wolper, Shilole na aunt Ezekiel ambao ndio wanatunza hizo sh. milioni 2 zilizosalia. Source Clouds tv!