Kashfa ya Kontena la Vitunguu Saumu kutoka China: Badala ya kuchomwa vinarudishwa upya!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,463
39,929
Kuna habari za kuaminika sana kuwa kuna kontena la futi 40 (karibu tani 30) na limeingie nchini kwa karibu wiki mbili sasa ambalo limejaa vitunguu saumu ambalo linajaribiwa kuingizwa nchini na kundi la Wachina. Sasa wakaguzi wa pale bandari wakagundua kuwa vitunguu vinaoneshwa (kwenye mifuko yake) kuwa vimeexpire tangu 2009. Sasa jana Wachina wetu walienda TFDA ili kupata kibali cha kuingiza vitunguu hivyo nchini. Lakini ilikuwa vikitoka hapo viende kutiwa moto - chanzo toka bandarini - kinadokeza kuwa hivyo vitunguu vimekomaa kiasi kwamba ukivipasua "unaweza kupata kizunguzungu au kupaliwa".

Sasa Wachina hawako tayari kuingia hasara. Nasikia wametembeza mlungula wa kitu kidogo kuanzia TFDA, Kilimo, TRA na kwa vile sijafuatilia leo tangu hili sakata lianze jana walikuwa waende na TBS. Sasa uwezekano wa vitunguu hivyo kuingizwa sokoni ni mkubwa hasa kama haitawezekana kuvirudisha China. Sasa hivi vimehifadhiwa katika mafriji ya bandari pale na jamaa hawataki ifanyike "manual" inspection wanataka "scanning". Jamaa wametembeza karibu dola 5000 ili kurahisisha utoaji wa vitunguu hivyo; kuanzia TFDA kwenyewe kilimo na TRA.

Sijui ni mazao gani yanalimwa huko Igunga (najaribu kukumbuka kama kuna maeneo ya Tabora wanalima Vitunguu saumu) lakini vyovyote vile ilivyo taifa lnapofikia kuagiza hata vigunguu saumu basi tuna hali mbaya sana. Ndio nimebakia kusema kuwa kuna kashfa nyingine ni za kijinga.
 
Ukistaajabu ya musa, utaona ya firauni.. Kweli tumekwisha kabisa kama hata vitunguu swaumu twaagiza kutoka china...aliyeilaani tz sidhani kama yuko hai jamani!
 
Kuna habari za kuaminika sana kuwa kuna kontena la futi 40 (karibu tani 30) na limeingie nchini kwa karibu wiki mbili sasa ambalo limejaa vitunguu saumu ambalo linajaribiwa kuingizwa nchini na kundi la Wachina. Sasa wakaguzi wa pale bandari wakagundua kuwa vitunguu vinaoneshwa (kwenye mifuko yake) kuwa vimeexpire tangu 2009. Sasa jana Wachina wetu walienda TFDA ili kupata kibali cha kuingiza vitunguu hivyo nchini. Lakini ilikuwa vikitoka hapo viende kutiwa moto - chanzo toka bandarini - kinadokeza kuwa hivyo vitunguu vimekomaa kiasi kwamba ukivipasua "unaweza kupata kizunguzungu au kupaliwa".

Sasa Wachina hawako tayari kuingia hasara. Nasikia wametembeza mlungula wa kitu kidogo kuanzia TFDA, Kilimo, TRA na kwa vile sijafuatilia leo tangu hili sakata lianze jana walikuwa waende na TBS. Sasa uwezekano wa vitunguu hivyo kuingizwa sokoni ni mkubwa hasa kama haitawezekana kuvirudisha China. Sasa hivi vimehifadhiwa katika mafriji ya bandari pale na jamaa hawataki ifanyike "manual" inspection wanataka "scanning". Jamaa wametembeza karibu dola 5000 ili kurahisisha utoaji wa vitunguu hivyo; kuanzia TFDA kwenyewe kilimo na TRA.

Sijui ni mazao gani yanalimwa huko Igunga (najaribu kukumbuka kama kuna maeneo ya Tabora wanalima Vitunguu saumu) lakini vyovyote vile ilivyo taifa lnapofikia kuagiza hata vigunguu saumu basi tuna hali mbaya sana. Ndio nimebakia kusema kuwa kuna kashfa nyingine ni za kijinga.

Umekuja na habari nzuri sana para ya kwanza, kama ni ya kweli, halafu para ya mwisho ukamwaga pumba kama kawaida yako. Unanshangaza kwa kuiharibu habari kwa maswali yasiyo na msingi.
 
Umekuja na habari nzuri sana para ya kwanza, kama ni ya kweli, halafu para ya mwisho ukamwaga pumba kama kawaida yako. Unanshangaza kwa kuiharibu habari kwa maswali yasiyo na msingi.

faixafoxy, ninachoweza kukwambia ni kwamba ubongo wako umeshakufa umebaki kiwiliwili tu ndicho ktembeacho, ninachoweza kuseama "ULALE PEMA PEPONI" usinichukulie vbaya..
 
Umekuja na habari nzuri sana para ya kwanza, kama ni ya kweli, halafu para ya mwisho ukamwaga pumba kama kawaida yako. Unanshangaza kwa kuiharibu habari kwa maswali yasiyo na msingi.

Dada yangu habari za Jioni? bado upo kwenye kile Kitengo cha propaganda cha CCM (Bakwata)
 
Kuna habari za kuaminika sana kuwa kuna kontena la futi 40 (karibu tani 30) na limeingie nchini kwa karibu wiki mbili sasa ambalo limejaa vitunguu saumu ambalo linajaribiwa kuingizwa nchini na kundi la Wachina. Sasa wakaguzi wa pale bandari wakagundua kuwa vitunguu vinaoneshwa (kwenye mifuko yake) kuwa vimeexpire tangu 2009. Sasa jana Wachina wetu walienda TFDA ili kupata kibali cha kuingiza vitunguu hivyo nchini. Lakini ilikuwa vikitoka hapo viende kutiwa moto - chanzo toka bandarini - kinadokeza kuwa hivyo vitunguu vimekomaa kiasi kwamba ukivipasua "unaweza kupata kizunguzungu au kupaliwa".

Sasa Wachina hawako tayari kuingia hasara. Nasikia wametembeza mlungula wa kitu kidogo kuanzia TFDA, Kilimo, TRA na kwa vile sijafuatilia leo tangu hili sakata lianze jana walikuwa waende na TBS. Sasa uwezekano wa vitunguu hivyo kuingizwa sokoni ni mkubwa hasa kama haitawezekana kuvirudisha China. Sasa hivi vimehifadhiwa katika mafriji ya bandari pale na jamaa hawataki ifanyike "manual" inspection wanataka "scanning". Jamaa wametembeza karibu dola 5000 ili kurahisisha utoaji wa vitunguu hivyo; kuanzia TFDA kwenyewe kilimo na TRA.

Sijui ni mazao gani yanalimwa huko Igunga (najaribu kukumbuka kama kuna maeneo ya Tabora wanalima Vitunguu saumu) lakini vyovyote vile ilivyo taifa lnapofikia kuagiza hata vigunguu saumu basi tuna hali mbaya sana. Ndio nimebakia kusema kuwa kuna kashfa nyingine ni za kijinga.

Umeanza vizuri lakini mwishoni umeingiza upupu. Inaelekea hata habari yenyewe ni ya kutunga tu.
 
faixafoxy, ninachoweza kukwambia ni kwamba ubongo wako umeshakufa umebaki kiwiliwili tu ndicho ktembeacho, ninachoweza kuseama "ULALE PEMA PEPONI" usinichukulie vbaya..

Mie nadhani wako ndio uliolala, Igunga kuna limwa nini inahusiana nini na vitunguu vya bandarini? halafu kuna kosa lipi kuagiza vitunguu saumu kutoka nje? mradi vitengo vya afya viruhusu, sioni uhusiano wa biashara na Igunga na Bandarini. Nadhani mpaka sasa utajuwa ni ubongo wa nani uliokufa. Nakupa pole sana.
 
Mie nadhani wako ndio uliolala, Igunga kuna limwa nini inahusiana nini na vitunguu vya bandarini? halafu kuna kosa lipi kuagiza vitunguu saumu kutoka nje? mradi vitengo vya afya viruhusu, sioni uhusiano wa biashara na Igunga na Bandarini. Nadhani mpaka sasa utajuwa ni ubongo wa nani uliokufa. Nakupa pole sana.
Pumzika we kikongwe usiyechoka kulumbana, umri ulionao ukiendelea kubishana na vijana wa jf utajifia siku sio zako, huku hakuna wazee wenzio! Khaa Nape kweli hana hata huruma, anawapa kazi mpaka wabibi kama wewe?.. Ungeutumia ujana wako vizuri sahizi ungekuwa umejipumzikia zako unajilia mafao taratiibu...ona sasa unavyohangaika kisa ujira wa sh elfu mbili kwa siku... Kalee wajukuu zako bana!
 
Mie nadhani wako ndio uliolala, Igunga kuna limwa nini inahusiana nini na vitunguu vya bandarini? halafu kuna kosa lipi kuagiza vitunguu saumu kutoka nje? mradi vitengo vya afya viruhusu, sioni uhusiano wa biashara na Igunga na Bandarini. Nadhani mpaka sasa utajuwa ni ubongo wa nani uliokufa. Nakupa pole sana.
kwenu upareni na lushoto wanalima vitunguu saumu,kwani umeambiwa kuna upungufu wa viungo hivyo hapa nchini?mkulima mtanzania anaonewa kwa kuletewa nyanya,vitunguu,kuku,nyama ng'ombe toka South africa na china bila kibali ila wenye viwanda wahindi,makaburu wanazuia bidhaa shindani toka nje na wizara kusema eti marufuku kuingiza sukari,nondo,bati mpaka kibali maalum jee hapo kuna usawa?tumia ubongo usiwe bongo lala
 
Mie nadhani wako ndio uliolala, Igunga kuna limwa nini inahusiana nini na vitunguu vya bandarini? <font size="4"><font color="#ff0000">halafu kuna kosa lipi kuagiza vitunguu saumu kutoka nje? mradi vitengo vya afya viruhusu,</font></font> sioni uhusiano wa biashara na Igunga na Bandarini. Nadhani mpaka sasa utajuwa ni ubongo wa nani uliokufa. Nakupa pole sana.
<br>
<br>
Msukule upo kazini!
 
kwenu upareni na lushoto wanalima vitunguu saumu,kwani umeambiwa kuna upungufu wa viungo hivyo hapa nchini?mkulima mtanzania anaonewa kwa kuletewa nyanya,vitunguu,kuku,nyama ng'ombe toka South africa na china bila kibali ila wenye viwanda wahindi,makaburu wanazuia bidhaa shindani toka nje na wizara kusema eti marufuku kuingiza sukari,nondo,bati mpaka kibali maalum jee hapo kuna usawa?tumia ubongo usiwe bongo lala

Mkuu unadhani FF haelewi kinachozungumzwa na mwanakijiji?? ila wapo hapa kwa kazi moja tu....kuwachanganya baadhi ya wasomaji wa JF wasielewe ukweli kuhusu wapi nchi yetu ilianzia, wapi tulipo na wapi tunaelekea. Hawa utawaona au kuwajua kutokana na maandiko yao, maneno kutoka midomoni mwao au kushuhudia matendo yao. Ilhali mioyoni mwao wanajua ya kwamba nchi hii inaendeshwa na madereva wanaokwenda kusababisha ajali mbele ya safari ( Nimetumia lugha ya picha kufananisha uongozi mbovu na madereva fake).
 
Mkuu unadhani FF haelewi kinachozungumzwa na mwanakijiji?? ila wapo hapa kwa kazi moja tu....kuwachanganya baadhi ya wasomaji wa JF wasielewe ukweli kuhusu wapi nchi yetu ilianzia, wapi tulipo na wapi tunaelekea. Hawa utawaona au kuwajua kutokana na maandiko yao, maneno kutoka midomoni mwao au kushuhudia matendo yao. Ilhali mioyoni mwao wanajua ya kwamba nchi hii inaendeshwa na madereva wanaokwenda kusababisha ajali mbele ya safari ( Nimetumia lugha ya picha kufananisha uongozi mbovu na madereva fake).
wanaudhi sana mtu mzima kuwa kibaraka mpaka lini?kisa una kamrija kako ka ufisadi badala ya kuangalia manufaa ya wananchi wote kwa jumla!tungeletewa mbegu ya vitunguu saumu vyeupe vikubwa ili wakulima wapande wapate mazao hayo zaidi hapo ningeelewa
 
Umekuja na habari nzuri sana para ya kwanza, kama ni ya kweli, halafu para ya mwisho ukamwaga pumba kama kawaida yako. Unanshangaza kwa kuiharibu habari kwa maswali yasiyo na msingi.
mama tulia tu nyumbani ucheze na wajukuu...............ushachakaaaa
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom