Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 830
<br />Hizo ni laana kwa chama,hakuna kiongozi msafi ndani ya magamba.
<br />
Tambwe Hiza ni victim wa such coincidence, ila in all two episodes that engulfed him. Ya kwanza ilikuwa ni wahuni wenzie waliompeleka sehemu alikokuwa anamegwa mkewe (alipewa 'spoke' achungulie akakuta anapakuliwa! Dirisha liliondoka), ya pili mke mwingine alimzalia mdosi!
I think this experience contributes Tambwe's mind instability. Fumanizi la Igunga sijui impact yake itakuwaje.