Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Nimepata tetesi hivi punde kuwa Takukuru walikuwa na mjadala mrefu wa kumwajibisha Dr. Idrissa Rashid na vibosile wenzie waliokuwepo TANESCO na ambao ndiyo walioamua kuzuia mitambo ya DOWANS kinyume na sheria na isivyo halali na kulisababishia taifa maumivu ya Tshs 185 Billions...............
Pia Takukuru walikuwa wameagiza watumiwe muhutasari wa kikao kilichoamua mitambo ya DOWANS ikamatwe na kama Bodi nzima ya Tanesco ilishirikishwa kwenye uamuzi huo ambao sasa unaelekea kumweka JK hali mbaya kisiasa hasa ukizingatia Wikileaks wamemshutumu kwa kulea mafisadi....................
Tupo wengi tunaoamini ya kuwa uongozi wa Dr. Idrissa Rashid uliamua kushikilia hiyo mitambo ya DOWANS kama njia ya kulilazimisha Bunge la nchi hii ili liwaruhusu kuinunua mitambo hiyo michakavu kinyume na sheria ya manunuzi ambayo inakataza serikali kununua mitambo chakavu.........................
Ujanja huo uliposhindikana ilikuwa ni suala la wakati tu kabla ya nchi kuingizwa mkenge na wajanja wachache....................
Taarifa zaidi nitazimwaga hapa jamvini mara nitakapozinasa kwenye luninga yangu...................
Pia Takukuru walikuwa wameagiza watumiwe muhutasari wa kikao kilichoamua mitambo ya DOWANS ikamatwe na kama Bodi nzima ya Tanesco ilishirikishwa kwenye uamuzi huo ambao sasa unaelekea kumweka JK hali mbaya kisiasa hasa ukizingatia Wikileaks wamemshutumu kwa kulea mafisadi....................
Tupo wengi tunaoamini ya kuwa uongozi wa Dr. Idrissa Rashid uliamua kushikilia hiyo mitambo ya DOWANS kama njia ya kulilazimisha Bunge la nchi hii ili liwaruhusu kuinunua mitambo hiyo michakavu kinyume na sheria ya manunuzi ambayo inakataza serikali kununua mitambo chakavu.........................
Ujanja huo uliposhindikana ilikuwa ni suala la wakati tu kabla ya nchi kuingizwa mkenge na wajanja wachache....................
Taarifa zaidi nitazimwaga hapa jamvini mara nitakapozinasa kwenye luninga yangu...................