Sn2139
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 834
- 250
Mambo ya perception vs. reality.....
Mimi nadhani rais atawasamehe kama wakikubali kurudisha hizo pesa kinyemela ref Kikwete). Hawa watu ukiwakamata uchumi wa nchi unaweza kuyumba (ref Punda). Mambo ya jeshi hayajadiliwi na miradi ya jeshi ni siri haitakiwi kujadiliwa na chombo chochote nchini (Pinda).
Naomba Mh Anna Makinda asizimishe hoja hizi zikiletwa ndani ya bunge ili kujadiliwa. Tunataka kujua usalama wa pesa za nchi yetu mikononi mwa hao tuliowapa? au kujinyakulia uongozi wa taifa let