B
Brutus
Guest
barabara18... Who is GALLA?
MTALIII
wewe unabishana wa GALLA? wako sehemu hao
barabara18... Who is GALLA?
Barabaraya18 alipoulizwa na Mwanakijiji kwa mara ya kwanza maana ya neno "Wagalla" kama halikuwa na maana ya grupu la watu wenye dini tofauti na ya barabaraya18, yeye mwenyewe alijibu kuwa ni "Wagalla" ni viongozi wa CCM na serikali. Sasa anapomsema Mkandara (kwa vile ndiye anyebishiwa na Mtalii) kuwa ni Mgalla wakati akijua fika kuwa huyu siyo kiongozi wa CCM na serikali, kweli inaashiria kuwa maana ya "Wagalla" aliyotuambia huko nyuma ilikuwa ni uwongo, na ninaanza kuamini hisia za mwanakijiji kuwa huyu jamaa ana ubaguzi wa kidini.
HEBU NAOMBA UILETE TAFSIRI NILIYOMPA MWANAKIJIJI kisha tuendelee, in other words lete hiyo post niliyomjibu MWANAKIJIJI
Hukusema ni viongozi wa CCM na Serikali wanaoongoza Bakwata?
my dear masatu, tukikubali principle kuwa "wazazi wakisema mapenzi ya Mungu basi yote yaishe" tutakuwa kwenye matatizo makubwa kweli. Kuna wakati ambapo Mapenzi ya Mungu na ya mwanadamu yanakuwa yameingiliana kweli kiasi cha kwamba kuyatofautisha inakuwa kazi kidogo. Nikiri hapa kuwa endapo uchunguzi huru utafanyika na pasipo shaka matokeo yakasema hakukuwa na jambo lolote la kisayansi linaloelezea kifo chake au any criminial negligence or acts... NITAKUWA wa kwanza kutaka tukubali uamuzi huo na hapo Mapenzi ya Mungu yatakuwa vindicated.
Naomba nirudie kusema kuwa sisemi kuwa Amina amekufa kutokana na njama za watu fulani, nasema kuna minong'ono na tetesi nyingi mtaani ambazo hadi majina ya watu yanatajwa. Hili si haki kwa mtu yule atajwaye na pia kutokuyapa uzito unaostahili hasa pale kiongozi wa kitaifa anapokufa katika usiri na utata, ni kuchochea minong'ono hiyo.
KWA NINI TUANDIKIE MATE WAKATI WINO UPO? LETE HIYO POST NILIYOMJIBU MWANAKIJIJI
waGALA ni watu wa CCM na serikali ambao wanacontol BAKWATA na SHEKHE MKUU
WAGALLA = ni watu viongozi wa serikali na baadhi ya viongozi upinzania ambao wanacontrol serikali
MTALII
Mimi based on those na mengineyo siku za nyuma nina suspect kuwa Mwanakiji atakuwa na ATTENTION DEFICIT DISORDER na ni bora anyamaze kwa asiyo yajua kuliko KUPAYUKA na kujiharibia hadhi yake
Barabaraya18 alipoulizwa na Mwanakijiji kwa mara ya kwanza maana ya neno "Wagalla" kama halikuwa na maana ya grupu la watu wenye dini tofauti na ya barabaraya18, yeye mwenyewe alijibu kuwa ni "Wagalla" ni viongozi wa CCM na serikali. Sasa anapomsema Mkandara (kwa vile ndiye anyebishiwa na Mtalii) kuwa ni Mgalla wakati akijua fika kuwa huyu siyo kiongozi wa CCM na serikali, kweli inaashiria kuwa maana ya "Wagalla" aliyotuambia huko nyuma ilikuwa ni uwongo, na ninaanza kuamini hisia za mwanakijiji kuwa huyu jamaa ana ubaguzi wa kidini.
invinsibo hukutakiwa kuingilia huu mjadala ilihali wewe ndio ( cheo chako humu JF ) ! dont choose sides, wee fuata tu flow ya watu. mie nadhani kila mtu na michango yao naipa kipaumbele.