Kashfa nzito: Zitto vs Amina Chifupa

Status
Not open for further replies.
Barabaraya18 alipoulizwa na Mwanakijiji kwa mara ya kwanza maana ya neno "Wagalla" kama halikuwa na maana ya grupu la watu wenye dini tofauti na ya barabaraya18, yeye mwenyewe alijibu kuwa ni "Wagalla" ni viongozi wa CCM na serikali. Sasa anapomsema Mkandara (kwa vile ndiye anyebishiwa na Mtalii) kuwa ni Mgalla wakati akijua fika kuwa huyu siyo kiongozi wa CCM na serikali, kweli inaashiria kuwa maana ya "Wagalla" aliyotuambia huko nyuma ilikuwa ni uwongo, na ninaanza kuamini hisia za mwanakijiji kuwa huyu jamaa ana ubaguzi wa kidini.
 
Labda amepanua maana ya neno na sasa linajumuisha pia wapinzani na viongozi wao...

Kwani ule msamiati wa Ungunge una maana ya vibosile wa chama tawala tu?
 
Barabaraya18 alipoulizwa na Mwanakijiji kwa mara ya kwanza maana ya neno "Wagalla" kama halikuwa na maana ya grupu la watu wenye dini tofauti na ya barabaraya18, yeye mwenyewe alijibu kuwa ni "Wagalla" ni viongozi wa CCM na serikali. Sasa anapomsema Mkandara (kwa vile ndiye anyebishiwa na Mtalii) kuwa ni Mgalla wakati akijua fika kuwa huyu siyo kiongozi wa CCM na serikali, kweli inaashiria kuwa maana ya "Wagalla" aliyotuambia huko nyuma ilikuwa ni uwongo, na ninaanza kuamini hisia za mwanakijiji kuwa huyu jamaa ana ubaguzi wa kidini.


HEBU NAOMBA UILETE TAFSIRI NILIYOMPA MWANAKIJIJI kisha tuendelee, in other words lete hiyo post niliyomjibu MWANAKIJIJI
 
my dear masatu, tukikubali principle kuwa "wazazi wakisema mapenzi ya Mungu basi yote yaishe" tutakuwa kwenye matatizo makubwa kweli. Kuna wakati ambapo Mapenzi ya Mungu na ya mwanadamu yanakuwa yameingiliana kweli kiasi cha kwamba kuyatofautisha inakuwa kazi kidogo. Nikiri hapa kuwa endapo uchunguzi huru utafanyika na pasipo shaka matokeo yakasema hakukuwa na jambo lolote la kisayansi linaloelezea kifo chake au any criminial negligence or acts... NITAKUWA wa kwanza kutaka tukubali uamuzi huo na hapo Mapenzi ya Mungu yatakuwa vindicated.

Naomba nirudie kusema kuwa sisemi kuwa Amina amekufa kutokana na njama za watu fulani, nasema kuna minong'ono na tetesi nyingi mtaani ambazo hadi majina ya watu yanatajwa. Hili si haki kwa mtu yule atajwaye na pia kutokuyapa uzito unaostahili hasa pale kiongozi wa kitaifa anapokufa katika usiri na utata, ni kuchochea minong'ono hiyo.

Mwanakijiji.

Tetesi nyingi mtaani na minong'ono Mkuu usiishi kwa tetesi. hadi Marekani kuna tetesi mitaani?
 
MTALII


Huyo Mwanakijiji nilimshusha HADHi pale alipojidai kutaka kuingilia kujua waislam wanazikana vipi.Sasa nilitegemea mtu kama huyu angekaa pembeni kisha asome ili aelimike lakini wapi! Jamaa anapenda ATTENTION kuliko hata huyo PARIS HILTON. Hakukuwa na sababu ya yeye kuja kuniambia kuwa nimekuwa mdini kwa kuposti picha za masista kwenye msiba wa Amina.

Halafu mbaya zaidi huyu Mwanakijiji kwa jinsi alivyokuwa na moyo wa kumsaidia AMINA CHIFUPA na ile FREE AMINA campaign at least ungefikiria angeweza kufanya research akajua kama amina HAKUWA MKE wa MEDI MPAKANJI kiislam, na mbaya zaidi MWANAKIJIJI aliboa zaidi liposhindwa hata kujua kuwa AMINA alikuwa dhehebu gani, sasa najiuliza hivi hizo pesa zote anazolipwa kashindwa kuajiri RESEARCHER kwa kumfanyia background info ya MINA CHIFUPA?

Mimi based on those na mengineyo siku za nyuma nina suspect kuwa Mwanakiji atakuwa na ATTENTION DEFICIT DISORDER na ni bora anyamaze kwa asiyo yajua kuliko KUPAYUKA na kujiharibia hadhi yake
 
KWA NINI TUANDIKIE MATE WAKATI WINO UPO? LETE HIYO POST NILIYOMJIBU MWANAKIJIJI

Barabaraya18,

Kumbe wewe kigeugeu kweli aisee; hivi kweli unapoandika huwa unajua unachoandika? Tulianzia kwenye talaka tatu ukasema upewe reference, tukakupa ukakimbia. Sasa unakataa kukubali uliyoandika mwenyewe eti hadi tukupe reference. Siyo wewe ulieandika hivi?
waGALA ni watu wa CCM na serikali ambao wanacontol BAKWATA na SHEKHE MKUU

halafu leo unadai hivi:

WAGALLA = ni watu viongozi wa serikali na baadhi ya viongozi upinzania ambao wanacontrol serikali

Huoni kabisa kuwa unatudanganya hapa. Kama una maana yako nyingine moyoni iwe njema au mbaya sina haja ya kuijua lakini usitufanye kama watoto wadogo hapa.

Nimeongezea sehemu hii makusudi: Swala la kujua dhehebu la mtu siyo muhimu kabisa katika jamii yetu. Tunaweza kujua kuwa ni mwislamu au mkiristo lakini hatuna haja ya kujua dhehebu ndani ya uislamu au ukristo wa mtu. Ni kama ambavyo huwa hatuhitaji kujua makabila ya watu.
 
MTALII

Mimi based on those na mengineyo siku za nyuma nina suspect kuwa Mwanakiji atakuwa na ATTENTION DEFICIT DISORDER na ni bora anyamaze kwa asiyo yajua kuliko KUPAYUKA na kujiharibia hadhi yake

Well,
Labda Mwanakijiji anajiharibia hadhi kwako. kwa upande wangu (na labda wengine) Mzee Mwanakijiji is quite somebody (his contributions).
 
Barabaraya18 alipoulizwa na Mwanakijiji kwa mara ya kwanza maana ya neno "Wagalla" kama halikuwa na maana ya grupu la watu wenye dini tofauti na ya barabaraya18, yeye mwenyewe alijibu kuwa ni "Wagalla" ni viongozi wa CCM na serikali. Sasa anapomsema Mkandara (kwa vile ndiye anyebishiwa na Mtalii) kuwa ni Mgalla wakati akijua fika kuwa huyu siyo kiongozi wa CCM na serikali, kweli inaashiria kuwa maana ya "Wagalla" aliyotuambia huko nyuma ilikuwa ni uwongo, na ninaanza kuamini hisia za mwanakijiji kuwa huyu jamaa ana ubaguzi wa kidini.

Ubaguzi wa kidini unakujaje hapa? kuna makundi mawili hapa. la kwanza kuna Mpakanjia-muislam na Nchimbi-mkristu. halafu kundi la pili yuko Zitto Kabwe-muislam. wapo wana jf kila upande issue ya udini iko wapi hapa? au Zitto anaonewa kwa dini yake kwa vile yuko peke yake.
 
invinsibo hukutakiwa kuingilia huu mjadala ilihali wewe ndio ( cheo chako humu JF ) ! dont choose sides, wee fuata tu flow ya watu. mie nadhani kila mtu na michango yao naipa kipaumbele.
 
Guys mtatusamehe!
Maana naona tunakwenda mbali.. nje kabisa ya mjadala halisi!
No offense!
 
Nilishauri hii thread ifungwe kwa vile nadhani muda wake umekwisha. Ilpofunguliwa ilikuwa inahusu watu wawili waliokuwa hai wakati huo na wakarushiwa madongo sana. Kwa vile mmoja wao sasa hivi hatunaye, hakuna haja ya kuendelea na thread hii. Kama kuna vipande ambavyo watu wanapenda kuendelea navyo ni afadhali ifunguliwe thread mpya kabisa katika mazingira ya sasa ambayo tunajua fika kuwa Amina ni marehemu.
 
invinsibo hukutakiwa kuingilia huu mjadala ilihali wewe ndio ( cheo chako humu JF ) ! dont choose sides, wee fuata tu flow ya watu. mie nadhani kila mtu na michango yao naipa kipaumbele.

Lol Kuna sehemu niliwahi kusoma wanasema You can never be fair unless you choose a side..
 
Kada naona umewachanganya watu wawili.. humu kuna "Invincible" na kuna "Invisible". Uliyemlenga hapo ni "Invisible"... just to clear some things...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom