Kashfa nzito dhidi ya Manji...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,475
39,991
Sioni sababu ya kuendelea na huu mjadala kuhus mambo ya familia ya Mengi, mbona hatujadili familia za JK, Lowassa,Rostamu, Magufuli (ambaye mkewe kazaa na Warioba) ... nadhani hakuna zaidi ya kutaka kuchezeana akili..... Mbona ile mada ya Mfanyabiashara aliyetoa Dola 200,000 ili mada za Mengi zirudishwe humu haikutaja jina la huyo mfanyabiashara lakini hakuna ambaye hajui kwamba ni Yussuf Manji, ambaye tabia zake zinatisha na watu hawasemi lolote.. Si afadhali ya Mengi anafanya mambo yanayoendana na maadili ya KIAFRIKA ,kuliko huyo kijana mdogo anayefanya mambo ya aibu? Kwanza pamoja na kuwa ana uwezo kama wanaume wengine bado watu wanamtumia pia na wengine anawalipa fedha nyingi ili ashughulikiwe... Nani asiyejua mfanyabiashara huyo anavyojidunga sindano za madawa ya kulevya? Mtu anavuta bangi katika RANGE ROVER njia nzima na watu wanajua? mbona hayo munayachekelea? Humu JF kuna wangapi ambao wameshawahi kuacha wake kwa sababu mbalimbali, hebu tumuache mzee wa watu apumzike. Admini nadhani achana na hii mada


My Take:


Hili limeandikwa kwenye "vibweka vya wakubwa" lakini nimeshtuka sana kwa sababu kama madai haya yana ukweli basi viongozi wetu ni watu wasiopima character za watu Inayohusiana nao. Nakumbuka jinsi alivyojaribu kwa kiasi kikubwa kuingia kwenye siasa wakati wa Uchaguzi wa 2005 huku akipigiwa debe na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar wakati ule.

Hivi karibuni pia kuna habari ambazo zimepenyezwa (sina uhakika nazo) kuwa anahusika na mimba ya binti mmoja ambaye sasa hivi amehama na jiji ili kuficha habari hizo (nasikia yuko Arusha)

Nazikumbuka habari hizi:

Luteni Makamba ammiminia mabusu mfadhili wa miradi

2005-07-21 14:57:21
Na Maabad Msuya, Temeke


Baada ya kushindwa kujizuia kuonyesha furaha yake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Luteni Yusuph Makamba, amejikuta akimfagilia mfadhili wa miradi mbalimbali wilayani Temeke Bwana Yusuph Manji na kumtaka agombee ubunge wa jimbo la Kigamboni kwa tiketi ya CCM.

Kama vile haitoshi Mkuu huyo wa Mkoa kwa kuonyesha ni jinsi gani alivyovutiwa na kufurahishwa na ufadhili huo, aliamua kumpa mabusu Bw. Manji kama ishara ya shukrani na furaha.

Luteni Makamba ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo, baada ya kuvutiwa na mwamko wa wakazi wa eneo hilo, naye ameahidi kuchangia Sh. milioni 1.5, kati ya hizo, milioni moja ikitoka mfukoni mwake na laki tano kwenye mfuko wa ofisi yake.

’Kusema kweli umenifurahisha sana na ili kukuonyesha ni jinsi gani umenifurahisha nakuomba usogee tena hapa karibu yangu ili nikupe busu la furaha,’ akasema Mkuu huyo wa Mkoa na kisha akaanza kumimina mabusu mfululizo.

Na wakati fulani ndugu yetu mmoja alitoa nyeti hizi ambazo bila ya shaka ana uhakika nazo au kuna mtu anajua zaidi:

Sasa tunajadiliana! Hayo ni malumbano binafsi, ila nijuavyo Manji alitaka kuingia kwenye siasa za bongo last year kwa kuwania ubunge Jimbo Kigamboni, kilichotokea ni kuwa alipita kwenye kura za maoni, ila kichama akabwagwa. Jamaa alikuwa anatembeza hela sio mchezo. Kwanza alimwaga millioni 200 zisaidie ujenzi wa barabara, alizitoa(ahadi) mbele ya Makamba, halafu inasadikika kuwa alimgharimia Makamba harusi ya mwanae au kutoa kiasi kikubwa.

Sasa hapa najiuliza kuna matatizo gani kwenye safu ya wafanyabiashara wetu wakubwa? Hivi kijana huyu kweli ni nini kinamuongoza katika kutoa ufadhili n.k yawezekana ni katika kujijenga zaidi na kujilinda? Ni nini hasa tunachojua kuhusu mfanyabiashara huyu na hatima ya siasa Tanzania, je aweza baadaye kuwa ndiyo the next RA? Je yawezekana wanaoeneza habari hizi wanajaribu tu "kumpaka" kijana mzalendo na mwenye mapenzi kwa nchi yake kama Manji na wanafanya hivyo kwa sababu ya wivu?
 

My Take:


Hili limeandikwa kwenye "vibweka vya wakubwa" lakini nimeshtuka sana kwa sababu kama madai haya yana ukweli basi viongozi wetu ni watu wasiopima character za watu Inayohusiana nao. Nakumbuka jinsi alivyojaribu kwa kiasi kikubwa kuingia kwenye siasa wakati wa Uchaguzi wa 2005 huku akipigiwa debe na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar wakati ule.

Hivi karibuni pia kuna habari ambazo zimepenyezwa (sina uhakika nazo) kuwa anahusika na mimba ya binti mmoja ambaye sasa hivi amehama na jiji ili kuficha habari hizo (nasikia yuko Arusha)

Nazikumbuka habari hizi:

Luteni Makamba ammiminia mabusu mfadhili wa miradi



Na wakati fulani ndugu yetu mmoja alitoa nyeti hizi ambazo bila ya shaka ana uhakika nazo au kuna mtu anajua zaidi:



Sasa hapa najiuliza kuna matatizo gani kwenye safu ya wafanyabiashara wetu wakubwa? Hivi kijana huyu kweli ni nini kinamuongoza katika kutoa ufadhili n.k yawezekana ni katika kujijenga zaidi na kujilinda? Ni nini hasa tunachojua kuhusu mfanyabiashara huyu na hatima ya siasa Tanzania, je aweza baadaye kuwa ndiyo the next RA? Je yawezekana wanaoeneza habari hizi wanajaribu tu "kumpaka" kijana mzalendo na mwenye mapenzi kwa nchi yake kama Manji na wanafanya hivyo kwa sababu ya wivu?


mmmh hivi ulivyoileta kimajungu majungu hivi!!
 
Mtu wa Pwani, ni swali tu; nadhani umefika wakati tunavyowachunguza wanasiasa wetu tuwachunguze pia wafanyabiashara wetu. Mara nyingi tetesi kuwa "wafanyabiashara wakubwa wanahusika na madawa ya kulevya" au "Viongozi wakubwa serikalini wanawalinda Vigogo wa Madawa" wakati mwingine zinakuwa ni kuzunguka zunguka tu bila kupanda mti wenyewe. Kama unaona ni majungu achana na hili; tuendelee na mengine.
 
Re: Kashfa nzito dhidi ya Manji?

--------------------------------------------------------------------------------

Quote: Mzee Mwanakijiji

My Take:

Hili limeandikwa kwenye "vibweka vya wakubwa" lakini nimeshtuka sana kwa sababu kama madai haya yana ukweli basi viongozi wetu ni watu wasiopima character za watu Inayohusiana nao. Nakumbuka jinsi alivyojaribu kwa kiasi kikubwa kuingia kwenye siasa wakati wa Uchaguzi wa 2005 huku akipigiwa debe na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar wakati ule.

Hivi karibuni pia kuna habari ambazo zimepenyezwa (sina uhakika nazo) kuwa anahusika na mimba ya binti mmoja ambaye sasa hivi amehama na jiji ili kuficha habari hizo (nasikia yuko Arusha)

Nazikumbuka habari hizi:

Luteni Makamba ammiminia mabusu mfadhili wa miradi



Na wakati fulani ndugu yetu mmoja alitoa nyeti hizi ambazo bila ya shaka ana uhakika nazo au kuna mtu anajua zaidi:



Sasa hapa najiuliza kuna matatizo gani kwenye safu ya wafanyabiashara wetu wakubwa? Hivi kijana huyu kweli ni nini kinamuongoza katika kutoa ufadhili n.k yawezekana ni katika kujijenga zaidi na kujilinda? Ni nini hasa tunachojua kuhusu mfanyabiashara huyu na hatima ya siasa Tanzania, je aweza baadaye kuwa ndiyo the next RA? Je yawezekana wanaoeneza habari hizi wanajaribu tu "kumpaka" kijana mzalendo na mwenye mapenzi kwa nchi yake kama Manji na wanafanya hivyo kwa sababu ya wivu?


mmmh hivi ulivyoileta kimajungu majungu hivi!!

Unapoanza kwa kusema ni majungu bila kutoa maelezo tunaomba utusaidie kupata taarifa ya upande wako, vinginevyo ukae kimya kuacha wenye data wakamwaga humu.

Kuhusu huyo kijana kuwa na mahusiano yasiyo ya kimaadili, hata mimi nimeyasikia tena kwa watu wa karibu naye mmoja tena ni mtu aliyewahi kuwa msaidizi wake wa karibu mno. Lakini pia hata ukimuona anavyozungumza, utapata picha ya ajabu kabisa. Mungu aepushe mbali na watoto wetu
 
Kuhusu huyo kijana kuwa na mahusiano yasiyo ya kimaadili, hata mimi nimeyasikia tena kwa watu wa karibu naye mmoja tena ni mtu aliyewahi kuwa msaidizi wake wa karibu mno. Lakini pia hata ukimuona anavyozungumza, utapata picha ya ajabu kabisa. Mungu aepushe mbali na watoto wetu

Mzee mbona kama unaminyaminya? mahusiano yasiyo ya kimaadili manake nini? maana hiyo ni definition ya mtu mwenyewe, kuna wengine ukiwa na girlfriend wanasema si maadili sharti muoane, wengine wanaona poa, sasa hayo mahusiano unayoyayita si ya kimaadili ni yapi?
 
Mzee mbona kama unaminyaminya? mahusiano yasiyo ya kimaadili manake nini? maana hiyo ni definition ya mtu mwenyewe, kuna wengine ukiwa na girlfriend wanasema si maadili sharti muoane, wengine wanaona poa, sasa hayo mahusiano unayoyayita si ya kimaadili ni yapi?

Huko juu naona kama yameshagusiwa... Unajua si maadili yetu kwa mfano, mzee Makamba kumpiga busu Manji si maadili yetu, kwa yeye mzee wa Kisambaa, si maadili ya wasambaa, kupigana busu wanaume kwa wanaume tena hadharani
 
Ila haya ya kuwa anaji"dunga" sindano yana ukweli wowote au ndo maana hajishughulishi na kampeni dhidi ya madawa isipokuwa mpira tu...?
 
Ila haya ya kuwa anaji"dunga" sindano yana ukweli wowote au ndo maana hajishughulishi na kampeni dhidi ya madawa isipokuwa mpira tu...?

Kuna kijana mmoja ambaye zamani alikua polisi wa upelelezi pale central na baadaye kuajiriwa na huyu kijana, anasema suala la kujidunga si la mjadala.. analifahamu kwa uhakika kabisa... walikua vijana wake... mtu mwingine ni dada mmoja ambaye naye ana mahusiano naye ya kikazi, anathibitisha hilo, mwingine ni jamaa yake wa dini yake ambaye naye analielezea hilo kwa masikitiko makubwa.. nashangaa hilo kuwa mjadala, si jambo jipya kabisa
 
Huko juu naona kama yameshagusiwa... Unajua si maadili yetu kwa mfano, mzee Makamba kumpiga busu Manji si maadili yetu, kwa yeye mzee wa Kisambaa, si maadili ya wasambaa, kupigana busu wanaume kwa wanaume tena hadharani

Hivi huyu Makamba ndiyo yule aliyewaambia wanaume pale Dodoma "I love you" ??
 
Halisi
Huko juu naona kama yameshagusiwa... Unajua si maadili yetu kwa mfano, mzee Makamba kumpiga busu Manji si maadili yetu, kwa yeye mzee wa Kisambaa, si maadili ya wasambaa, kupigana busu wanaume kwa wanaume tena hadharani

Hivi huyu Makamba ndiyo yule aliyewaambia wanaume pale Dodoma "I love you" ??

haa, haaaa, haaaa
 
Ina maana zaidi ya kubwia unga jamaa pia ni "punga" au mna maana gani, isije ikawa mie ndiye ninayeuelewa tafauti huu mjadala! Na je hili suala la Mzee Makamba "kummiminia" mabusu hadharani lina uhusiano wowote na tuhuma hizo? Hebu wenye data tuwekeni wazi tuelewe vizuri.
 
Ina maana zaidi ya kubwia unga jamaa pia ni "punga" au mna maana gani, isije ikawa mie ndiye ninayeuelewa tafauti huu mjadala! Na je hili suala la Mzee Makamba "kummiminia" mabusu hadharani lina uhusiano wowote na tuhuma hizo? Hebu wenye data tuwekeni wazi tuelewe vizuri.

Mpunga!!! Ubwabwa!!!! Mhnn mimi thithemi
 
Hivi jamani naomba niulize, mtu aweza kuwa punga wakati huo huo anadunga mimba ze dadas? mi nilijua akisha pigwa mabusu yeye hawezi piga tena?
 
Hivi jamani naomba niulize, mtu aweza kuwa punga wakati huo huo anadunga mimba ze dadas? mi nilijua akisha pigwa mabusu yeye hawezi piga tena?

Marehemu Omar Kopa alikua na mke, na wako waliomgombania. Wako wa aina hiyo wenye watoto na familia
 
Hivi huyu Makamba ndiyo yule aliyewaambia wanaume pale Dodoma "I love you" ??


Naaam, hujakosea mkuu. Ni yeye.

Mkjj,

Ni kweli imefika wakati tuwachunguze wafanyabiashara wetu, si tu kwa kuwa nao wana aspirations za leadership nchini, bali pia wanainfluence maamuzi ya viongozi wetu dhaifu kama YM.

Hawa biashara zao ni za mazabe mzabe mno ndo maana they never want to use Stock Markets.
 
Lakini hayo ya kutumia madawa ya kulevya sidhani tunaweza hata kuyafumbia macho. Hayo ya down low inawezekana ndio maana amekuwa na mgongano na viongozi wa dini?
 
suala la uteja sio siri...kwani angalia hata macho na ule mdomo,,,angalie asije akawa kama ABBAS GULAMALI..mfadhili wa zamani wa yanga..uteja na kujidunga kulimuua hadi damu ikawahaibadilishiki tena..pamoja na ubunge wake..

lakini hili la uteja ni tatizo kubwa la watoto wa matajiri especially waliosomeshwa mashule makubwa makubwa...na ukiangalia manji ni kama mtoto wa MENGI kwa umri..tabia ya manji fananisha na ya MAREHEMU MUTIE au BINTI REGINA..je tabia zao zinatofautiana na za mtoto wa tajiri MANJI????....je hamuoni linahitaji mjadala wa kimalezi hili???
 
Back
Top Bottom