Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Kwa ofisi kubwa kama ya msemaji wa serikali anadiriki vipi kutumia picha za SGR ya kenya kuonyesha SGR ya Tanzania?
Huyu ana PHD sijui ya nini?
Watanzania sio wajinga kama ameshindwa kupata picha zinazotushawishi Watanzania sio busara na sio haki kabisa kutuwekea picha za reli ya majirani zetu.
Ni sawa na kupeperusha bendera ya kenya kwenye gari la Rais wa Tanzania.
Hapa alikua anazungumzia kwa.ba ukarabati wa reli ya zamani unaendelea.
Tunaofisi ya msemaji wa serikali ya hovyo kuwahi kutokea.
Wenye uelewa mzuri ndio wananielewa kwanini nimeita hii ni kashfa.
Huyu ana PHD sijui ya nini?
Watanzania sio wajinga kama ameshindwa kupata picha zinazotushawishi Watanzania sio busara na sio haki kabisa kutuwekea picha za reli ya majirani zetu.
Ni sawa na kupeperusha bendera ya kenya kwenye gari la Rais wa Tanzania.
Hapa alikua anazungumzia kwa.ba ukarabati wa reli ya zamani unaendelea.
Tunaofisi ya msemaji wa serikali ya hovyo kuwahi kutokea.
Wenye uelewa mzuri ndio wananielewa kwanini nimeita hii ni kashfa.