Nilidhani ni MTU kazini na mume wa MTU!!!!!!! Mfume jikeManeno haya kayaseme mbele za walevi wenzio. Mtu kazini na mke wa mtu tusimhukumu ? wewe ni ccm tu.
Huyo mpiga picha yeye hana michepuko,isije kuwa mama kaiga kwa mumewe
kumkaa mke wa mtu inahtaj ujasir mimi nashindwa kwakwel kuna lishangaz haliishi vituko lakin sina hata mzuka nalo......
Mmmh!tundi hili jamani,sura yake mbaya lkn kila cku tunaskia mapya kulihusu
kwa hiyo unapenda kufa?
Upelelezi ni sumu ya mapenzi.. Ya nini kunyatia nyayo za mkeo ama mmeo, kama hamuaminiani, ya nini kuishi kwa presha..?