Maneno haya kayaseme mbele za walevi wenzio. Mtu kazini na mke wa mtu tusimhukumu ? wewe ni ccm tu.
CCM inaingiaje hapo?!Mauchafu ya ccm hayo wamezoea.
sawa mi ni mlevi ndo maana unanihukumu lakini ungekua mlevi pia kama mimi usingelinihukumu au nimekosea?
Huyo hakimu ni mzinzi lakini wewe ni mchawi ndo maana unamhukumu
Mmmh!tundi hili jamani,sura yake mbaya lkn kila cku tunaskia mapya kulihusu
hahaha vipochi manyoya ndo kiboko ya wanaume!
>>>Chanzo www.francisgodwin
Mpaka paroko keshapita bado tu unasema huyo ni mkeo,hivi talaka zimesimamishwa au?
kumkaa mke wa mtu inahtaj ujasir mimi nashindwa kwakwel kuna lishangaz haliishi vituko lakin sina hata mzuka nalo......
aise kuna wanawake wengne huwez kumuacha kuna mpangaji wetu alikuwa kama huyu mke wa mpgapicha tena na zaid lakn huyo jamaa kashndwa kumuacha mpaka leo although sasa amepunguza coz keshakuwa na wanawatoto kadhaa,
Hapo mwenye makosa mke wa mtu atakubali vipi wakati ana mume?