The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,883
Hahahahahaha hii ferry inabeba watu 200 ambao mapato ya safari moja ni 400,000/= huku gharama ya uendeshaji kwa safari ikiwa ni 8000,000/=
Ndio maana imepaki!!! Rais anaimba tumefikishwa hapa na wachache huku akiamini yeye si miongoni kwa hao wachache!!!
inapaswa mbunge mmoja aulize hili bungeni