Ndugu wana JF hali ilivyo sasa kwa depot za OIL COM, ENGEN, BP, CAMEL Jamaa inaonekana wanakomaa na mgomo. Mpaka sasa vituo havina mafuta.
Hii inaonyesha kwamba kama nchi ikiendeshwa na Wafanyabiashara tunaelekea wapi sasa, Jamani Tatizo la hii nchi nini hasa, Hatuna Elimu, Pesa zina watu kuliko serikali.
Ipo siku hii nchi JWTZ waichukue.
Hii inaonyesha kwamba kama nchi ikiendeshwa na Wafanyabiashara tunaelekea wapi sasa, Jamani Tatizo la hii nchi nini hasa, Hatuna Elimu, Pesa zina watu kuliko serikali.
Ipo siku hii nchi JWTZ waichukue.