Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Ni bora wangeandika kwa Kiswahili, makosa yapo kila sentences kwenye hilo box au kasha la maziwa, me had team up with the Nyani Ngabu kusema ni bora waachane na hizi lugha zilizokuja na majahazi. Anyway, English is not our language ni lugha ya kujifunza tusiwalaumu sana. Ni bora kuikuza lugha yetu ya KiswahiliHivi huwa hawahakiki kwanza kabla ya kuziweka hizo bidhaa sokoni au wote waliopo huko Dar Fresh ni vilaza?