happy amos
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 251
- 434
alinidharau, hakunijali alinitesa sana akawa hataki hata nishike hata sim yake anaiwekea lock nikachoka munga kanisaidia nimempata ninaempenda kagundua hilo ananiandikia msg za matusi eti bado ananipenda!!!! aliniona wa kazi gani mwenzie alinisema atanipata lini?? eti anadai hakunitamkia kama kaniacha so anachojua mimi bado ni mpenzi wake nimfanyeje huyu mtu wapendwa???????????