Karume Vipi Tena

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
Bw. Karume anatoa taarifa kwa wanahabari kuwa Wapemba hawakumchagua ndio maana hakuwapanga katika wizara na sehemu nyengine nyeti za Serikali ya Zanzibar, Ivi nani anaushahidi kuwa Karume kachaguliwa na CCM zanzibar? Ivi si Mkapa nde aliemlazimisha kwa vitisho Dr. Ghraib Bilal kuachia ngazi? ambae ndie alikuwa chaguo la CCM Zanziabar! Sasa karume leo hii anasema utumbe kama ule haoni kuwa anawadhalilisha wazanzibari na kuwakejeli? Sasa kama wapemba hawakumchagua kwa nini haachani nao na kuwapa uhuru wao? Hii ndio demokrasia ya CCM? Wanakjidai kuwa eti! wameondoa wakoloni, Tanganyika leo hii si Mkoloni kwa Zanzibar? wakati nyerere ndie alietoa fikra za kuanzisha ASP na kupanga mapinduzi ya tar 12 Januari? Wakuja ndio waliofanya mauaji kwa Wasomi na wazanzibari wasio na hatia?

Vipi leo hii wapemba wasipewe haki yao ya kimaumbile kuchagua watakalo? Hata karafuu yao hawaruhusiwi kuuza watakapo, lakini watanganyika kule kila siku madege yanaruka na kutua kusafirisha samaki na pamba na mali za machimbo yao raha mustarehe. Sisi wazanzibari yaani hatujui kufanya biashara hizo, hatujui wapi tukauze biashara zetu? Ivi huu ndio usawa wa serikali ya Muungano? Hii ndio demokrasia ya CCM na Usawa kwa watanzania wote?

Jamani tuamkeni tujue nini tunahitaji na nini halitufai! Waachieni wapemba wachague wapi waende, Ndio! Visiwa vya Zanzibar havina historia ya kuungana, kwa hivyo ni rahisi kutengana kwa sababu hakuna mkataba wowote uliopo kama vimeungana. Kama havijaungana balaa inakuwa hivi mwasema haviwezi tengana je kama vimeungana kama Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ingekuwa Vipi? Si Balaa na nakama?
 
Mkulu Shy, Hao ndo viongozi wenu wa CCM wasiofikiri wakati wa kusema na kumpa wakati mgumu katibu wao kuwatetea.
 
Watanzania kabla ya harakati za kisiasa za TANU walikuwa wakijishughlisha haki zao za kiraia.

Lakini, baada ya TANU kuzinduliwa, Watanzania walikuwa wakidai haki yao ya uhuru wa kisiasa, kiuchumi na kijamii pamoja na haki yao ya kujitawala wenyewe. Ndipo walipoiunga mkono TANU na viongozi wake.

Ni ukweli usiopingika kuwa TANU ndio iliyokuwa mstari wa mbele (spearhead) katika mkakati wa kuwahamasisha Watanzania katika harakati za kumuondoa Muingereza na utawala wake wa kikoloni nchini mwetu.

Tatizo langu linakuja wakati TANU/CCM na viongozi wake wanapodai kuwa walileta uhuru kwa Watanzania. Kwa mtazamo wangu TANU/CCM wamejiletea uhuru wao wenyewe kwa kuziba pengo lililowachwa wazi na wakoloni wenyewe.

Badala ya Tanzania kutawaliwa na Wakoloni, sasa inatawaliwa na TANU/CCM. Iweje leo hii TANU/CCM ijiite Chama Tawala? Inamtawala nani ili hali tulishakataa kutawaliwa tangu 1954? Kumbe zile harakati zote zilikuwa za kuwahadaa Watanzania, washirikiane nanyi ili zama za kuondoka Muingereza mkalie viti vyao mtuwale sisi badala yao?

Hapo ndipo inapokuja jeuri hii inayoonyeshwa na akina Amani Abeid Karume, jeuri ya akina Benjamin William Mkapa na baadhi ya viongozi wengine wa TANU/ASP/CCM. Nchi yao na serikali yao na wananchi wote ni mali yao (raia wao ambao ni watawaliwa tu).

Badala ya wao kuwa WATUMISHI WA UMMA na chama chao kuwa CHAMA CHA WATUMISHI WA UMMA, wao wanakuwa WATAWALA na chama chao ni CHAMA TAWALA.

Hii ndio legacy ya Nyerere ya chama kushika hatamu za nchi. Ilifanywa makusudi kabisa ili tuendelee kuwa na tabaka mbili mahususi, ile ya Watawala na Watawaliwa.

Laiti kama Nyerere angehakikisha hatamu za nchi zinashikwa na wananchi wenyewe, CCM hii leo, ama ingekuwa na nidhamu kwa wananchi au ingekuwa historia, wananchi wangeshawafukuza kazi hawa siku nyingi sana.
 
Kuwa Rais wa Nchi, unakuwa Rais wa wote, aliekuchagua na aliekupinga. Kusema maneno ya kukebeli walioacha kukuchagua ni dalili za ukosefu wa sifa bora za Uongozi bora katika safu ya Uongozi husika.

Vile vile, wale waliokupinga kukuchagua na kushindwa kushinda kwa hoja, wanayo nafasi yao kutoa mchango wao wa kujenga nchi bila kutumia njia za kejeli. Kabisa, wana wajibu, pia wanayo haki ya kuangalia na kupendekeza jinsi ya kuboresha na kujenga nchi ikiwa ni pamoja na kuangalia na kupendekeza jinsi ya kuboresha mifumo wanaoiona inarudisha nyuma nchi.

Kwa misingi hiyo, hivyo basi, challenge za vyama vya Upinzani kwa Chama kilichoshika Dola, ni wajibu na ni haki.

Wajibu unatakiwa kuwa unahusisha kulinda maslahi ya taifa - YA TAIFA. Sio maslahi ya sehemu moja ya Taifa hili letu ambalo tusipojivunia sie, hakuna ataekuja kutusaidia tujivunie.

Tuna nafasi ya kipekee kabisa ikilinganishwa na mataifa mengi ya Afrika, kwani Taifa hili letu liliundwa kwa Uongozi Jasiri wa Viongozi wawili waasisi, yaani Nyerere na Karume - ambao wote ni watu wa kutoka katika hii sasa tunayoiita, Tanzania nchi yetu.

Hizi habari za kusema Wapemba na Wazanzibari au Wazanzibara au Wabara, ni habari za kugawa watu na hazina maslahi ya Kitaifa ya muda mrefu. Zinaweza kuwa na maslahi ya sehemu moja kwa muda mfupi kwa watu wachache watakaoweza kukimbilia kuanzisha "national" anthems, flags, passports, seat at International organizations such as UN, 21 salute guns etc let alone their host of "executive officials" with interests to keep their "own" interests going they will continue building their locale against the rest of the country. Kwa kifupi ni power to rule others in their locale. This is one of the weakness Nyerere confessed or cautioned when he was negotiating for Independence of Tanganyika, implying he would have been willing to wait so that East Africa achieved independence as a Federated country.[as mentioned in his speech at 40th anniversary of Ghana's Independence - 1*]

My call to all fellow Tanzanians as far as the union is concerned is that, let us be proud of Union of Tanzania and let us make it even stronger (or think of ways to, and act) rather than throwing questions and connotations questioning the legality and wisdom of Nyerere and Karume to have created the Union. You need to reflect and realize that, you never had Tanganyika. You had a series of small tribes with local chiefs who had their own territories. They were not consulted when Tanganyika got created. Worse enough, they or rather their descendants "found" they had a country called Tanganyika created by the 1885 Berlin conference by the invaders of their collective empires. However, we did have our own "small countries" within a region that came to be known as Tanganyika. Zanzibar, Unguja and Pemba had similar with a series of foreign invasions and administrations from the Portuguese people, the Sultans and the British.

Some may argue and finally a so called Tanganyika facilitated the invasion [2*], but I choose to see it differently. The national movements leaders of the time, with their weaker and younger "nations", they had to be fast and strategic to realize how they could strengthen their territory and create a stronger country of Unity. Nyerere in particular, knew the challenges some fellow country people will create for his vision of a United Africa through Pan Africanism ([1*], but they did go ahead. Sadly there were a lot of Killings in Zanzibar.

Tanzania as country, is still on the march! The Tanzanian History is not written yet. We are all writing it together. When the history of Tanzania is written anywhere with inferences that our people did not shed blood, that will be misleading. It is perhaps right to state that the history of the efforts of Nyerere's TANU to rid of the British direct rule for a home self rule, did not shed blood. Surely the formation of Tanzania had blood shed at the start [2*], as we know what happened with Zanzibar revolution as well as other regions within what was called Tanganyika, such as Majimaji Wars and other African "kingdoms" within the colonial administrative region then known as Tanganyika.

The message here is simple. Tanzania is being formed and created by all of us now proudly identified as Tanzanians. Nyerere and Karume were the Leaders who facilitated the founding. It is up to our generations to protect the Union and fight to keep it even stronger. It is up to us to develop it. Our identity is Tanzania. In our identity as far as Utawala wetu, we need to fight and protect union with awakening spirit realizing that we have no "Utawala wa Mangi Mkuu", we have no "Utawala wa Mkwawa", we have no "Utawala wa Wapemba" we have no "Utawala wa WaUnguja", we have no "Utawala wa Tanganyika from of Berlin 1885 Conference. We have "Utawala wa Tanzania". Tanzania ni yetu sote. Ni nchi yetu. Huo ndio utawala tunaotakiwa kuupigania uboreshwe katika ngazi zote. Sio kwa sababu wewe uko eneo la Mangi Mkuu au Mkwawa au Unguja au Pemba au colonial Administrative Tanganyika.

Why don't we gear the energy towards development activities at the grassroots level in the country, in the process bring the political reforms? Without development of people, the same vicious circles of poverty will continue to produce same type of rulers, replacing same wine with new bottle! What is the difference between the majority of people ruled under colonial Tanganyika or Sultan Zanzibar, and today's Tanzania under the fellow Tanzanians? The general wisdom and assumption is that the colonial rule was very bad for the majority of Tanzanians. This is a historical fact considering the British having to suspend education for our people for 10 years after chasing the Germans out. Gives a clear intention they had as we all know, after 43 years of British rule, 85% of the adult population remained illiterate. When Nyerere took the country, he had 2 trained Engineers and 12 doctors! When Nyerere left, there was 91% literacy and nearly every child was in school. Nyerere's era trained thousands of engineers and doctors. Go and check the current stats (2008) where literacy is rated as circa 69.85% when combining men and women [3*]. Huge step still, from 15% to 91% (Nyerere's) or (69.85%).

47 years of self rule can tell us what works and what doesn't. I would have expected the pace in attaining and promoting what works would have been at a speed of light - as we know it works. If the colonial administration was "that bad" are the Tanzanians legislatures and rulers of modern day Tanzania using some of the same old laws and at times style, to govern the country? The same laws and style they fought to eliminate in a first place?

The country is now fighting grand corruption and this is the fight we MUST all fight fiercely as the powers and challenges behind these malpractice are even bigger than what Nyerere and his people then fought the British to establish the home rule.

It is a bigger struggle because, those entrusted with the leadership of our young nation (47 years old Dec 2008), besides some being leaders of corruption at a grand scale, they are still our own mothers, fathers, sisters, brothers, aunties, uncles, friends, they are not foreigners who have invaded the country. They are one amongst us. They may collaborate with foreigners, but they have a choice not to.

My friends, that is where the fight is ought to be. It comes in different forms, including changing some electoral laws across the union and adapting complete overhauling approach to systems that allow bad practice to flourish. JK of pre Tanzania had full support to bring the home rule, and he succeeded. JK of 2008 enjoyed a landslide victory hence safe to deduce full support from the majority of ordinary people - the voters. He needs to move at a speed of light (remember the office term is only 10 years) to create a strong base that will rid corrupt practices and or create and promote zero tolerant approach to all these bad and selfish behaviors of some of our leaders.

A national unifying system that will ensure the voters and tax payers who are technically the employers of politicians, do indeed have the power to hire and fire.




Further Reading:
[1*] Kwame Nkrumah & African Unity (Vigour, Commitment & Sincerity). Speech on 40th anniversary of Ghana Independence, Accra, Ghana 6 March 1997 - http://findarticles .com/p/articles/ mi_qa5391/ is_200602/ ai_n21408880/ pg_1
[2*] ZANZIBAR: THE HUNDRED DAYS' REVOLUTION (ESAU XXX) - https://www. cia.gov/library/ center-for- the-study- of-intelligence/ kent-csi/ docs/v11i2a01p_ 0001.htm [you may download the Zanzibar - esau-28.pdf]
[3*] https://www. cia.gov/library/ publications/ the-world- factbook/ geos/tz.html

Regards,
Apollo Temu
 
Bw. Karume anatoa taarifa kwa wanahabari kuwa Wapemba hawakumchagua ndio maana hakuwapanga katika wizara na sehemu nyengine nyeti za Serikali ya Zanzibar, Ivi nani anaushahidi kuwa Karume kachaguliwa na CCM zanzibar? Ivi si Mkapa nde aliemlazimisha kwa vitisho Dr. Ghraib Bilal kuachia ngazi? ambae ndie alikuwa chaguo la CCM Zanziabar! Sasa karume leo hii anasema utumbe kama ule haoni kuwa anawadhalilisha wazanzibari na kuwakejeli? Sasa kama wapemba hawakumchagua kwa nini haachani nao na kuwapa uhuru wao? Hii ndio demokrasia ya CCM? Wanakjidai kuwa eti! wameondoa wakoloni, Tanganyika leo hii si Mkoloni kwa Zanzibar? wakati nyerere ndie alietoa fikra za kuanzisha ASP na kupanga mapinduzi ya tar 12 Januari? Wakuja ndio waliofanya mauaji kwa Wasomi na wazanzibari wasio na hatia?

Vipi leo hii wapemba wasipewe haki yao ya kimaumbile kuchagua watakalo? Hata karafuu yao hawaruhusiwi kuuza watakapo, lakini watanganyika kule kila siku madege yanaruka na kutua kusafirisha samaki na pamba na mali za machimbo yao raha mustarehe. Sisi wazanzibari yaani hatujui kufanya biashara hizo, hatujui wapi tukauze biashara zetu? Ivi huu ndio usawa wa serikali ya Muungano? Hii ndio demokrasia ya CCM na Usawa kwa watanzania wote?

Jamani tuamkeni tujue nini tunahitaji na nini halitufai! Waachieni wapemba wachague wapi waende, Ndio! Visiwa vya Zanzibar havina historia ya kuungana, kwa hivyo ni rahisi kutengana kwa sababu hakuna mkataba wowote uliopo kama vimeungana. Kama havijaungana balaa inakuwa hivi mwasema haviwezi tengana je kama vimeungana kama Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ingekuwa Vipi? Si Balaa na nakama?



Haya umeanza kuyajua lini ? Ama ndiyo mtandao wa bara umeanza kuamka na kumgeuka Karume ? Au kuna mtu kaiba password yako anamwaga busara hizi ?Hongera karibu maana naona akili yako inaanza kupata akili maana ilikuwa tupu .
 
Kuwa Rais wa Nchi, unakuwa Rais wa wote, aliekuchagua na aliekupinga. Kusema maneno ya kukebeli walioacha kukuchagua ni dalili za ukosefu wa sifa bora za Uongozi bora katika safu ya Uongozi husika.

Vile vile, wale waliokupinga kukuchagua na kushindwa kushinda kwa hoja, wanayo nafasi yao kutoa mchango wao wa kujenga nchi bila kutumia njia za kejeli. Kabisa, wana wajibu, pia wanayo haki ya kuangalia na kupendekeza jinsi ya kuboresha na kujenga nchi ikiwa ni pamoja na kuangalia na kupendekeza jinsi ya kuboresha mifumo wanaoiona inarudisha nyuma nchi.

Kwa misingi hiyo, hivyo basi, challenge za vyama vya Upinzani kwa Chama kilichoshika Dola, ni wajibu na ni haki.

Wajibu unatakiwa kuwa unahusisha kulinda maslahi ya taifa - YA TAIFA. Sio maslahi ya sehemu moja ya Taifa hili letu ambalo tusipojivunia sie, hakuna ataekuja kutusaidia tujivunie.

Tuna nafasi ya kipekee kabisa ikilinganishwa na mataifa mengi ya Afrika, kwani Taifa hili letu liliundwa kwa Uongozi Jasiri wa Viongozi wawili waasisi, yaani Nyerere na Karume - ambao wote ni watu wa kutoka katika hii sasa tunayoiita, Tanzania nchi yetu.

Hizi habari za kusema Wapemba na Wazanzibari au Wazanzibara au Wabara, ni habari za kugawa watu na hazina maslahi ya Kitaifa ya muda mrefu. Zinaweza kuwa na maslahi ya sehemu moja kwa muda mfupi kwa watu wachache watakaoweza kukimbilia kuanzisha "national" anthems, flags, passports, seat at International organizations such as UN, 21 salute guns etc let alone their host of "executive officials" with interests to keep their "own" interests going they will continue building their locale against the rest of the country. Kwa kifupi ni power to rule others in their locale. This is one of the weakness Nyerere confessed or cautioned when he was negotiating for Independence of Tanganyika, implying he would have been willing to wait so that East Africa achieved independence as a Federated country.[as mentioned in his speech at 40th anniversary of Ghana's Independence - 1*]

My call to all fellow Tanzanians as far as the union is concerned is that, let us be proud of Union of Tanzania and let us make it even stronger (or think of ways to, and act) rather than throwing questions and connotations questioning the legality and wisdom of Nyerere and Karume to have created the Union. You need to reflect and realize that, you never had Tanganyika. You had a series of small tribes with local chiefs who had their own territories. They were not consulted when Tanganyika got created. Worse enough, they or rather their descendants "found" they had a country called Tanganyika created by the 1885 Berlin conference by the invaders of their collective empires. However, we did have our own "small countries" within a region that came to be known as Tanganyika. Zanzibar, Unguja and Pemba had similar with a series of foreign invasions and administrations from the Portuguese people, the Sultans and the British.

Some may argue and finally a so called Tanganyika facilitated the invasion [2*], but I choose to see it differently. The national movements leaders of the time, with their weaker and younger "nations", they had to be fast and strategic to realize how they could strengthen their territory and create a stronger country of Unity. Nyerere in particular, knew the challenges some fellow country people will create for his vision of a United Africa through Pan Africanism ([1*], but they did go ahead. Sadly there were a lot of Killings in Zanzibar.

Tanzania as country, is still on the march! The Tanzanian History is not written yet. We are all writing it together. When the history of Tanzania is written anywhere with inferences that our people did not shed blood, that will be misleading. It is perhaps right to state that the history of the efforts of Nyerere's TANU to rid of the British direct rule for a home self rule, did not shed blood. Surely the formation of Tanzania had blood shed at the start [2*], as we know what happened with Zanzibar revolution as well as other regions within what was called Tanganyika, such as Majimaji Wars and other African "kingdoms" within the colonial administrative region then known as Tanganyika.

The message here is simple. Tanzania is being formed and created by all of us now proudly identified as Tanzanians. Nyerere and Karume were the Leaders who facilitated the founding. It is up to our generations to protect the Union and fight to keep it even stronger. It is up to us to develop it. Our identity is Tanzania. In our identity as far as Utawala wetu, we need to fight and protect union with awakening spirit realizing that we have no "Utawala wa Mangi Mkuu", we have no "Utawala wa Mkwawa", we have no "Utawala wa Wapemba" we have no "Utawala wa WaUnguja", we have no "Utawala wa Tanganyika from of Berlin 1885 Conference. We have "Utawala wa Tanzania". Tanzania ni yetu sote. Ni nchi yetu. Huo ndio utawala tunaotakiwa kuupigania uboreshwe katika ngazi zote. Sio kwa sababu wewe uko eneo la Mangi Mkuu au Mkwawa au Unguja au Pemba au colonial Administrative Tanganyika.

Why don't we gear the energy towards development activities at the grassroots level in the country, in the process bring the political reforms? Without development of people, the same vicious circles of poverty will continue to produce same type of rulers, replacing same wine with new bottle! What is the difference between the majority of people ruled under colonial Tanganyika or Sultan Zanzibar, and today's Tanzania under the fellow Tanzanians? The general wisdom and assumption is that the colonial rule was very bad for the majority of Tanzanians. This is a historical fact considering the British having to suspend education for our people for 10 years after chasing the Germans out. Gives a clear intention they had as we all know, after 43 years of British rule, 85% of the adult population remained illiterate. When Nyerere took the country, he had 2 trained Engineers and 12 doctors! When Nyerere left, there was 91% literacy and nearly every child was in school. Nyerere's era trained thousands of engineers and doctors. Go and check the current stats (2008) where literacy is rated as circa 69.85% when combining men and women [3*]. Huge step still, from 15% to 91% (Nyerere's) or (69.85%).

47 years of self rule can tell us what works and what doesn't. I would have expected the pace in attaining and promoting what works would have been at a speed of light - as we know it works. If the colonial administration was "that bad" are the Tanzanians legislatures and rulers of modern day Tanzania using some of the same old laws and at times style, to govern the country? The same laws and style they fought to eliminate in a first place?

The country is now fighting grand corruption and this is the fight we MUST all fight fiercely as the powers and challenges behind these malpractice are even bigger than what Nyerere and his people then fought the British to establish the home rule.

It is a bigger struggle because, those entrusted with the leadership of our young nation (47 years old Dec 2008), besides some being leaders of corruption at a grand scale, they are still our own mothers, fathers, sisters, brothers, aunties, uncles, friends, they are not foreigners who have invaded the country. They are one amongst us. They may collaborate with foreigners, but they have a choice not to.

My friends, that is where the fight is ought to be. It comes in different forms, including changing some electoral laws across the union and adapting complete overhauling approach to systems that allow bad practice to flourish. JK of pre Tanzania had full support to bring the home rule, and he succeeded. JK of 2008 enjoyed a landslide victory hence safe to deduce full support from the majority of ordinary people - the voters. He needs to move at a speed of light (remember the office term is only 10 years) to create a strong base that will rid corrupt practices and or create and promote zero tolerant approach to all these bad and selfish behaviors of some of our leaders.

A national unifying system that will ensure the voters and tax payers who are technically the employers of politicians, do indeed have the power to hire and fire.




Further Reading:
[1*] Kwame Nkrumah & African Unity (Vigour, Commitment & Sincerity). Speech on 40th anniversary of Ghana Independence, Accra, Ghana 6 March 1997 - http://findarticles .com/p/articles/ mi_qa5391/ is_200602/ ai_n21408880/ pg_1
[2*] ZANZIBAR: THE HUNDRED DAYS' REVOLUTION (ESAU XXX) - https://www. cia.gov/library/ center-for- the-study- of-intelligence/ kent-csi/ docs/v11i2a01p_ 0001.htm [you may download the Zanzibar - esau-28.pdf]
[3*] https://www. cia.gov/library/ publications/ the-world- factbook/ geos/tz.html

Regards,
Apollo Temu
SHY MY BROTHER SOMETHING HAS HAPEN IN YO HEAD YOU HAVE CHANG LIKE PAUL IN THE BIBLE,REMEMBER WHEN PAUL WAS PERSECUTING THE CHURCH AT TIME HE USED TO ANSWER SAUL, I SEE THE LIGHT BRO,BIG UP, SHY OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE CHINEKE
 
Shy mbona haujarudi na kuwahakikishia kuwa ni wewe ila umechoka kuwatetea watu wasiojua kuwa wanaumiza wenzio kwa uhafidhina wao na umeoamua kuachana nao.
 
kaka umeanza kupotea ndugu yangu,katu huwezi mlaumu karume kwa kujitenga kwa wapemba wakati hayo ni madhara ya kihistoria,na yamekolezwa na siasa za chuki za sharifu hamad.wanavuna walichopanda.stop kujipendekeza kwa kina lunyungu na mwafrika wa kike.
 
kaka umeanza kupotea ndugu yangu,katu huwezi mlaumu karume kwa kujitenga kwa wapemba wakati hayo ni madhara ya kihistoria,na yamekolezwa na siasa za chuki za sharifu hamad.wanavuna walichopanda.stop kujipendekeza kwa kina lunyungu na mwafrika wa kike.

Wakati Shy ameanza kuona mwanga kumezuka zuzu mwengine - pengine na yeye ataujua ukweli - ama kazi ipo kuondoa propaganda ya CCM katika baadhi ya Wtz wenzetu.
 
Wakati Shy ameanza kuona mwanga kumezuka zuzu mwengine - pengine na yeye ataujua ukweli - ama kazi ipo kuondoa propaganda ya CCM katika baadhi ya Wtz wenzetu.

Nadhani dikteta anayo haki ya kusema ukweli na kumrekebisha kaka shy ambae ni full bendera fata upepo hana hana msimamo wowote,anatuma post kujiosha kwa wanachadema na kujisahaulisha ukweli.pemba imejitenga yenyewe na hakuna mtu ameitenga...wao Sharrifu na kamungu kao na wanamuabudu
 
Back
Top Bottom