Nasikia Karume (original)alipokuwa raisi Zanzibar alilazimisha wasichana wa kiarabu kuolewa na waafrika?
Hivi ni kweli?
Baada ya kulazimisha watu kuolewa na watu wasiowataka alipata nini?
alipata KIFO
Kwa hio kwa hatua hizo nzito za kuua watu, kufanza watu wapotee kusikojulikana, kulazimisha ndoa za waarabu na waafrika na kuwaandama wale ambao hawakuona kwamba mambo hayo yanastahiki kufanzwa, naona kwamba nnaweza kusema kwamba tuhuma zinazotolewa ni sahihi.
Wakuu,
Inabidi tuwe tunafanza utafiti na kile tunachoandika kwani bila hivo basi kila kile tuandikacho kitakuwa kimekosa mwelekeo.
Ni wazi kabisa kwamba wenzangu wote tunaondika hapa kuhusu hayati Karume ama tunafanza makusudi kupotosha au bado tunakuwa hatufahamu kwa undani historia ya Zanzibar na matukio yaliyotokea kisiwani humo kabla na baada ya mapinduzi.
Lakini si taabu kwani ni vizuri kuwa na mjadala ambao labda baadae unaweza kutoa mwanga juu ya nini hasa mzee huyu alikifanza kabla na baada ya mapinduzi.
Zanziba kilikuwa ni kituo cha biashara ya utumwa na inajulikana wazi kwamba baada ya waarabu kutawala mahala pale mwishoni mwa karne ya 19 na mwanzoni mwa karne ya 20, mwishowe walikuwa wanazaa na waafrika.
Kwa mtazamo wangu ni kwamba baada ya zahama na shida kubwa ya waafrika kuwa manamba na vibarua katika mashamba ya karafuu na kwamba hata baada ya mapinduzi waarabu kuonekana bado wameneemeka kwa majumba ardhi na fwedha, hayati Karume (kwa akili yake) aliona jambo hilo na kwa mtazamo wake akaona kwamba ni lazima pawe na usawa kwa kila kitu na hapo ndio mzozo ulipoanza.
Kwa hio kwa hatua hizo nzito za kuua watu, kufanza watu wapotee kusikojulikana, kulazimisha ndoa za waarabu na waafrika na kuwaandama wale ambao hawakuona kwamba mambo hayo yanastahiki kufanzwa, naona kwamba nnaweza kusema kwamba tuhuma zinazotolewa ni sahihi.
Kwamba ulitaka kusema Fatma Karume ni mtoto wa nje wa karume wa kwanza???!! Uliwapa tango pori og!karume alilazimisha watoto wa kiarabu kuolewa na yeye karume. ukitizama wake zake wote apart from Fatma Karume ambae ni mtoto wa ndoa ya nje wa Mhindi na mswahili, walobakia wote waarabu (wake zake wanafika 5).
na ushahidi wa kuwa alilazimisha ni kuwa alimuoa mwanamke mmoja Muarabu wa wete pemba, na akazaa nae mtoto anaeitwa AHADI KARUME. huyo mama wa ahadi baada ya karume kufa tu akakimbilia Oman na mwanawe Ahadi akikupa Business yake anajiita AHADI ALMISKIRI (kabila la mama yake) kuonyesha kuwa hakupenda kuzaliwa na karume kwa vile alilazimishwa.
pili, ilikuwa karume ni dictator usipokubali kumpa mwanao anakufunga au unapotea kwneye upeo wa dunia.
ni hayo tu machache
ahsanteni
Kwamba ulitaka kusema Fatma Karume ni mtoto wa nje wa karume wa kwanza???!! Uliwapa tango pori og!