Karume,mwafaka,ccm Bara Ccm Dodoma

Macos

JF-Expert Member
May 12, 2008
1,979
1,416
MARA NYINGI KUMEKUWA NA KULAUMU UPANDE WA SERIKALI YA KARUME KAMA NDIO KISIKI CHA MAPATANO YOYOTE YA MUAFAKA KATI YA CCM ZANZIBAR NA CUF. LAKINI UKWELI NI KWAMBA CCM DODOMA NDIO WENYE MPINI WA HALI YA ZANZIBAR .

KARUME HAWEZI KUZUIA AMRI YOYOTE KUTOKA CCM BARA , WAO NDIO WALOMWEKA. INAELEWEKA WAZI KWAMBA KARUME HAKUTAKIWA NA CCM ZANZIBAR WAO WALIKUA WANAMTAKA DR.GHARIB BILAL AWE RAIS WAO LAKINI CCM DODODMA NDIO IKAWA KIKWAZO HAWAKUTAKA. HIVYO KAMA CCM DODOMA WANGETAKA MUWAFAKA BASI UNGEMWAMURU TU KARUME AKUBALI LAKINI WAO NDIO HAWATAKI SIO KARUME .

NA INAELEKEA CCM DODOMA WAKO KATIKA MPANGO MAALUM WA KUIMALIZA ZANZIBAR . HAIWEZEKANI CCM BARA WAKUBALI KUMCHAGUA MGOMBEA AMBAE NI MLEVI ....... NIAMBIENI KWELI CCM BARA WANGEWEZA KUMCHAGUA MLEVI KUWA MGOMBEA WAO?????????/ HATA SIKU MOJA HAWATOMCHAGUA LAKINI CCM BARA WAMEFANYA HIVYO KUWACHAGULIA CCM ZANZIBAR. NA KAMWE CCM DODOMA HAITOPITISHA MGOMBEA WA ZANZIBAR MWENYE UWEZO WA HALI YA JUU .

NAAMINI DR. BILAL ALIKUA ANA KILA SIFA YA KUWA RAIS WA ZANZIBAR LAKINI ALINYIMWA NA CCM BARA KWA SABABU YA KUWEKA MTU MLEVI ILI WAITAWALE KIRAHISI MAANA NI "TUBLESS' KWENYE KICHWA ...... KWELI UTAKATAA WATU WA NCHI MOJA KUPATANA ? NI KWA SABABU YA UMBUMBU TU NA ALIWEKWA NA CCM DDOMA WAO NDIO WALOMWEKA
 
hii kali sana na inauma kweli maana ina ukweli ndani yake..... mi simoooo
 
can somebody shoot me!! so where is the breaking news hapa? Nadhani, inaeleweka, Inaelekea.. c'mmon.. hii iende kwenye hoja binafsi au hiyo "breaking news" iondolewe. Ili habari iwe Breaking News:

a. Liwe ni jambo linalohusu maslahi ya Taifa (habari ya mti kuanguka Gezaulole siyo breaking news.. unless uwe umewaangukia watoto wa shule na kuua!)
b. Liwe limetokea leo (within hours) - Huwezi kuwa na breaking news ya juzi!
c. Lenye kuvuta hisia na hamu za watu - kama halina mvuto why break it!?
d. It has to be news worthy.. the tradional "mbwa kumng'ata mtu siyo habari, ila mtu kumng'ata mtu ndiyo!"...
 
nimekuja mbio mizigo nimeurembea kuangalia kulikoni ? kumbe pumba tupu.

sasa ndio breaking hii?

utani kwenye masihara mpunguze waungwana
 
Macos!!!

Acha kuhangaisha watu!!!

Tumeacha thread za maana kukimbilia huku kumbe #$###^$%$^%$ chaaaa!!!!!!!!!!
 
Akili ni nywele waungwana nakila mmoja ana nywele zake sasa kama ni ndefu ama fupi bado n jambo jingine lakini mwisho wa siku huitwa nywele .
 
Mgewbni huyu jamani, anapaswa kuelekezwa. safi mwanakijiji, nadhani amejifunza hapo kidogo
 
a. Liwe ni jambo linalohusu maslahi ya Taifa (habari ya mti kuanguka Gezaulole siyo breaking news.. unless uwe umewaangukia watoto wa shule na kuua!)
b. Liwe limetokea leo (within hours) - Huwezi kuwa na breaking news ya juzi!
c. Lenye kuvuta hisia na hamu za watu - kama halina mvuto why break it!?
d. It has to be news worthy.. the tradional "mbwa kumng'ata mtu siyo habari, ila mtu kumng'ata mtu ndiyo!"...

Sawa sawa hapa tupo ukurasa mmoja, masikini mtoa mada labda alikuwa hajui vizuri hapa ni JF kumkoma nyani! Haangaliwi mtu usoni ni mawe tu!
 
MARA NYINGI KUMEKUWA NA KULAUMU UPANDE WA SERIKALI YA KARUME KAMA NDIO KISIKI CHA MAPATANO YOYOTE YA MUAFAKA KATI YA CCM ZANZIBAR NA CUF. LAKINI UKWELI NI KWAMBA CCM DODOMA NDIO WENYE MPINI WA HALI YA ZANZIBAR .KARUME HAWEZI KUZUIA AMRI YOYOTE KUTOKA CCM BARA , WAO NDIO WALOMWEKA. INAELEWEKA WAZI KWAMBA KARUME HAKUTAKIWA NA CCM ZANZIBAR WAO WALIKUA WANAMTAKA DR.GHARIB BILAL AWE RAIS WAO LAKINI CCM DODODMA NDIO IKAWA KIKWAZO HAWAKUTAKA. HIVYO KAMA CCM DODOMA WANGETAKA MUWAFAKA BASI UNGEMWAMURU TU KARUME AKUBALI LAKINI WAO NDIO HAWATAKI SIO KARUME .
NA INAELEKEA CCM DODOMA WAKO KATIKA MPANGO MAALUM WA KUIMALIZA ZANZIBAR . HAIWEZEKANI CCM BARA WAKUBALI KUMCHAGUA MGOMBEA AMBAE NI MLEVI ....... NIAMBIENI KWELI CCM BARA WANGEWEZA KUMCHAGUA MLEVI KUWA MGOMBEA WAO?????????/ HATA SIKU MOJA HAWATOMCHAGUA LAKINI CCM BARA WAMEFANYA HIVYO KUWACHAGULIA CCM ZANZIBAR. NA KAMWE CCM DODOMA HAITOPITISHA MGOMBEA WA ZANZIBAR MWENYE UWEZO WA HALI YA JUU . NAAMINI DR. BILAL ALIKUA ANA KILA SIFA YA KUWA RAIS WA ZANZIBAR LAKINI ALINYIMWA NA CCM BARA KWA SABABU YA KUWEKA MTU MLEVI ILI WAITAWALE KIRAHISI MAANA NI "TUBLESS' KWENYE KICHWA ...... KWELI UTAKATAA WATU WA NCHI MOJA KUPATANA ? NI KWA SABABU YA UMBUMBU TU NA ALIWEKWA NA CCM DDOMA WAO NDIO WALOMWEKA

Ni kweli CCM Dodoma (kama ulivyoiita) ndio ilimweka Karume, lakini ukumbuke ilikuwa chini ya mwenyekiti aliyekuwa na nguvu sana au kwa maneno mengine mwenyekiti mbabe aliyeweza kubadili hata tarabu mbali mbali ilimradi mambo yake yapite. Kumbuka malalamiko ya mzee Butiku. Mimi naamini kuwa Mwenyekiti wa sasa wa CCM sio kama Mkapa ndio maana Karume aliweza kutunisha misuli yake na kukataa walichokwisha kubaliana na C.U.F
 
Mimi naamini kuwa Mwenyekiti wa sasa wa CCM sio kama Mkapa ndio maana Karume aliweza kutunisha misuli yake na kukataa walichokwisha kubaliana na C.U.F

Sasa huyo mwenyekiti mbabe ilikuwaje badala ya kuwaletea muafaka, akaishia kuwaua na risasi huko Pemba, lakini akashindwa kuwapa muafaka kama ni kitu rahisi na kinaweza kupatikana kwa kuwa mwenyekiti mbabe?

Ushauri wa bure, think before hujaandika hapa JF!
 
Hii sio Breaking news - unaona madhara yake badala ya watu kuchangia mada ambayo kwa mtazamo sio mbaya wanaanza kukurushia madongo.

Lakini naona Mzee M'kiji kakuelewesha na umeongeza chochote na mara nyengine utajirekebisha.

Nikuulize huu ulevi wa Karume una ushahidi nao?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom