William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Hizi tetesi ni za kawaida kwenye siasa, kama vile zile za kwamba Dr. Hussein anatayarishwa kuwa rais ndio maana amepelekwa kule Visiwani, Karume ni kiongozi mnyonge sana kuweza kuwa rais wa Muungano, na besides sio rahisi kwake kuyashinda au hata kushindana na makundi ya bara ya kisiasa, infact yatamfukia shimoni kisiasa kama yalivyomfanya Salim.
- Kwa maoni yangu, ili Muungwana arudi tena 2010 anawahitaji sana kina Lowassa na the gang, uchaguzi wa UWT ulikuwa ni utabiri tosha wa yatakayojiri kati ya 2010 na 2015, ninaamini kuwa Muungwana atakata deal na kundi la Lowassa, ili awaachie 2015 na ili wamsaidie 2010.
- Katika mvutano na hii deal ya Lowassa na Muungwana, Karume hana nafasi kabisa, infact wajumbe wengi wa NEC hawajasahau jinsi Karume na kundi lake walivyomuabisha rais kwenye kikao cha CCM Butiama, kuhusu muafaka maana walimvunjia sana heshima Muungwana, huku ikionekana wazi kuwa Karume hana control kabisa over wajumbe wake, na yeye akiwa kama kiongozi mkuu wa CCM huko Visiwani.
- Kiongozi wa Visiwani, aliyekua na nafasi kubwa ya kuwa rais wa Muungano, alikuwa Komandoo, lakini na yeye alijiharibia kwa kuwaudhi wajumbe wa NEC na CC, na yale madai yake ya term tatu, akaishia kukosa yote. Karume ana utata mkubwa sana kifamilia na nduguye Ali, ambaye wajumbe wengi wa NEC wana sympathy naye zaidi kuliko Amani,na kwenye hili Ali atajiunga na kundi moja la Bara na mara utasikia yale yale ya Salim na zamani.
- Halafu kuna Shamuhuna na Khatibu, ambao nao pia wana hamu kubwa sana ya urais, Khatibu ni mtu wa karibu sana tena sana na Muungwana, kama kuna nafasi ya kumpa urais mtu wa Visiwani, Khatibu ndiye atakayekua chaguo la kwanza la Muungwana kabla ya anybody else,
I mean sioni nafasi ya Karume kwenye urais wa Muungano, no way na ni maoni yangu tu!
- Kwa maoni yangu, ili Muungwana arudi tena 2010 anawahitaji sana kina Lowassa na the gang, uchaguzi wa UWT ulikuwa ni utabiri tosha wa yatakayojiri kati ya 2010 na 2015, ninaamini kuwa Muungwana atakata deal na kundi la Lowassa, ili awaachie 2015 na ili wamsaidie 2010.
- Katika mvutano na hii deal ya Lowassa na Muungwana, Karume hana nafasi kabisa, infact wajumbe wengi wa NEC hawajasahau jinsi Karume na kundi lake walivyomuabisha rais kwenye kikao cha CCM Butiama, kuhusu muafaka maana walimvunjia sana heshima Muungwana, huku ikionekana wazi kuwa Karume hana control kabisa over wajumbe wake, na yeye akiwa kama kiongozi mkuu wa CCM huko Visiwani.
- Kiongozi wa Visiwani, aliyekua na nafasi kubwa ya kuwa rais wa Muungano, alikuwa Komandoo, lakini na yeye alijiharibia kwa kuwaudhi wajumbe wa NEC na CC, na yale madai yake ya term tatu, akaishia kukosa yote. Karume ana utata mkubwa sana kifamilia na nduguye Ali, ambaye wajumbe wengi wa NEC wana sympathy naye zaidi kuliko Amani,na kwenye hili Ali atajiunga na kundi moja la Bara na mara utasikia yale yale ya Salim na zamani.
- Halafu kuna Shamuhuna na Khatibu, ambao nao pia wana hamu kubwa sana ya urais, Khatibu ni mtu wa karibu sana tena sana na Muungwana, kama kuna nafasi ya kumpa urais mtu wa Visiwani, Khatibu ndiye atakayekua chaguo la kwanza la Muungwana kabla ya anybody else,
I mean sioni nafasi ya Karume kwenye urais wa Muungano, no way na ni maoni yangu tu!