johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,855
Wakili Msomi Fatma Karume amesema Chacha Heche wa Chadema hajafanya kosa lolote kumtaka fundi mchundo kada wa CCM kuvua sare za chama chake kabla hajaanza Kazi
Fatma amesema nyumba ni ya Heche na kada wa CCM hajalazimishwa kufanya kibarua kwa Kamanda wa Chadema
Fatma amesema nyumba ni ya Heche na kada wa CCM hajalazimishwa kufanya kibarua kwa Kamanda wa Chadema