StraTon MemPhis GhaZar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 592
- 386
Masumbuko... mwanajuma... tembele... andendisye...
Rudvan... derriq.... ibrahimovic....
Rudvan... derriq.... ibrahimovic....
Elewa kwanza mada kabla hujajurupuka kuijibu mama angu.Nadhani kujikomboa kiuchumi ndio la msingi. Kama hayo majina mababu zetu walikuwa nayo, faida yake ni nini kiuchumi?
Acha kukurupuka wewe unayequote watu bila kuwafahamu.Elewa kwanza mada kabla hujajurupuka kuijibu mama angu.
Hamna majina ya kiislamu, unless ya KIARABUmbona unazungumzi
Mbona unazungumzia majina ya kikristu tu ya kiislamu huzungumzii kwa nini?
Hamna jina la kikristo wala kiislamu..Mkuu unavo wazugumzia wakiristu peke yao unakosea, pengine kuna sheria za kanisa zinazo shurutisha wakiristo wabatizwe kwa majina ya watakatifu wao mimi sijui.
Tatizo kubwa lipo kwa waislamu (mimi mojawapo).
UISLAAM, haumlazimishi muislam kutumia jina la kiarabu,masahaba wala majina ya manabii walio tangulia, lakini unakuja kukuta waislamtz, hawa tumia kabisa majina ya makabila asili na hayo yakiarabu wanayo tumia kwa kujilazimisha, wanayatamka visivyo, na mpaka sasa hivi wanadiriki kuamini majina ya kienyeji ni haramu kutumia na kuyaita ni yakikafiri
badili id yako jiite la kiafrica wewe mwenyewe una uenzi uzungu huku nje unajifanya kuukataa shame on youWaafrika alieturoga ametuweza.
Hadi miaka hii bado tunaamini majina ya kizungu ni bora zaidi kuliko majina ya kiafrika.
Sehemu kubwa ya watoto wanaozaliwa wanapewa majina ya kizungu, watu wengi wanaobatizwa wanabatizwa majina ya kizungu.
Kwani kuna mahala katika vitabu vya dini palipoadikwa ni lazima ubatizwe jina la kizungu au lililo katika vitabu hivyo?
Cha kushangaza watu hao hao wanaowapa majina ya lizungu watoto wao na wao wenyewe unakuta wanapiga kelele kua wanataka Africa iwe huru, uhuru upi wakati wewe mwenyewe hauko huru kifikra?
Miaka michache ijayo majina ya Kiafrika hasa hapa Tanzania yatakua yametoweka.
Waafrika tuna matatizzo gani?
NAUNGA MKONO HOJA(ILA NA WEWE HILO LA KWAKO BADILISHA),HII ISHU YA UTUMWA WA KIFIKRA KTK KUWAPA WATOTO MAJINA MI NLISHAISTUKIA SIKU NYINGI,NINA WATOTO WANGU 3,WOTE NIMEBATIZA MAJINA YA KISWAHILI,NILISHAPIGA MARUFUKU MAJINA KIINGEREZA NYUMBANI KWANGU!ETI OOH! SIJUI IVAN,JUNIOR,BRIAN,BRIGHT,ANGEL,GRACE,GENEVIEVE,VANESSA, TUPA KULE, HAPA NI MWENDO TU WA MAJINA KAMA AMANI,FURAHA,TUMAINI,UPENDO,MALAIKA,MALKIA,FARAJA NA MENGINE YA KILUGHA KAMA KOKU,ISHIMWE,PALAMAGAMBA,TUNDU, NCHEMBA,NAPE,MPINDASIGULU, NA MENGINE KAMA HAYO,NDO MAJINA YETU JAMANI TUYAENZI!Waafrika alieturoga ametuweza.
Hadi miaka hii bado tunaamini majina ya kizungu ni bora zaidi kuliko majina ya kiafrika.
Sehemu kubwa ya watoto wanaozaliwa wanapewa majina ya kizungu, watu wengi wanaobatizwa wanabatizwa majina ya kizungu.
Kwani kuna mahala katika vitabu vya dini palipoadikwa ni lazima ubatizwe jina la kizungu au lililo katika vitabu hivyo?
Cha kushangaza watu hao hao wanaowapa majina ya lizungu watoto wao na wao wenyewe unakuta wanapiga kelele kua wanataka Africa iwe huru, uhuru upi wakati wewe mwenyewe hauko huru kifikra?
Miaka michache ijayo majina ya Kiafrika hasa hapa Tanzania yatakua yametoweka.
Waafrika tuna matatizzo gani?