Karne hii bado watu wanabatizwa na kuita watoto wao majina ya kizungu?

Waafrika alieturoga ametuweza.

Hadi miaka hii bado tunaamini majina ya kizungu ni bora zaidi kuliko majina ya kiafrika.

Sehemu kubwa ya watoto wanaozaliwa wanapewa majina ya kizungu, watu wengi wanaobatizwa wanabatizwa majina ya kizungu.

Kwani kuna mahala katika vitabu vya dini palipoadikwa ni lazima ubatizwe jina la kizungu au lililo katika vitabu hivyo?

Cha kushangaza watu hao hao wanaowapa majina ya lizungu watoto wao na wao wenyewe unakuta wanapiga kelele kua wanataka Africa iwe huru, uhuru upi wakati wewe mwenyewe hauko huru kifikra?

Miaka michache ijayo majina ya Kiafrika hasa hapa Tanzania yatakua yametoweka.

Waafrika tuna matatizzo gani?


mimi mwanangu nimempa jina "Ngunyema"
 
Waafrika alieturoga ametuweza.

Hadi miaka hii bado tunaamini majina ya kizungu ni bora zaidi kuliko majina ya kiafrika.

Sehemu kubwa ya watoto wanaozaliwa wanapewa majina ya kizungu, watu wengi wanaobatizwa wanabatizwa majina ya kizungu.

Kwani kuna mahala katika vitabu vya dini palipoadikwa ni lazima ubatizwe jina la kizungu au lililo katika vitabu hivyo?

Cha kushangaza watu hao hao wanaowapa majina ya lizungu watoto wao na wao wenyewe unakuta wanapiga kelele kua wanataka Africa iwe huru, uhuru upi wakati wewe mwenyewe hauko huru kifikra?

Miaka michache ijayo majina ya Kiafrika hasa hapa Tanzania yatakua yametoweka.

Waafrika tuna matatizzo gani?
Bila shaka ni muumini wa Bwana Lusekelo ndugu yake na Charles Kitwanga..! Maana nimeona chanel ten akiwahubiria abiria wa kanisa lake akijiita chief na kupuuza majina ya wengine isipokuwa ya kinyakyusa nilicheka mno. Nafurahia sana kuwa mkatoliki aisei..
 
Waafrika alieturoga ametuweza.

Hadi miaka hii bado tunaamini majina ya kizungu ni bora zaidi kuliko majina ya kiafrika.

Sehemu kubwa ya watoto wanaozaliwa wanapewa majina ya kizungu, watu wengi wanaobatizwa wanabatizwa majina ya kizungu.

Kwani kuna mahala katika vitabu vya dini palipoadikwa ni lazima ubatizwe jina la kizungu au lililo katika vitabu hivyo?

Cha kushangaza watu hao hao wanaowapa majina ya lizungu watoto wao na wao wenyewe unakuta wanapiga kelele kua wanataka Africa iwe huru, uhuru upi wakati wewe mwenyewe hauko huru kifikra?

Miaka michache ijayo majina ya Kiafrika hasa hapa Tanzania yatakua yametoweka.

Waafrika tuna matatizogani?

km umeaminishwa kuwa Mila, Desturi na Tamaduni zako zinatokana na Mashetani, vipi umwite mwanao Ambangulu, Shakasi, Mwakisokwe nk awe na tabia za kishetani?
 
Mkuu unavo wazugumzia wakiristu peke yao unakosea, pengine kuna sheria za kanisa zinazo shurutisha wakiristo wabatizwe kwa majina ya watakatifu wao mimi sijui.
Tatizo kubwa lipo kwa waislamu (mimi mojawapo).
UISLAAM, haumlazimishi muislam kutumia jina la kiarabu,masahaba wala majina ya manabii walio tangulia, lakini unakuja kukuta waislamtz, hawa tumia kabisa majina ya makabila asili na hayo yakiarabu wanayo tumia kwa kujilazimisha, wanayatamka visivyo, na mpaka sasa hivi wanadiriki kuamini majina ya kienyeji ni haramu kutumia na kuyaita ni yakikafiri
Wakristo wanawapa watoto hata majina ya Kibantu Mfano Neema, Upendo, Vumilia, Baraka, Elisifa, Elineema, Faraja, Lulu, Aika, Sifaeli, n.k lakini huwezi kukuta waislamu na majina ya Kibantu.

Wakristo mpaka mavazi ni ya Kibantu lugha ya kuendeshea ibada ni ya Kibantu lakini uislamu hivyo vyote ni haramu na najisi.

Nimekaa nikautafakari uislamu nikaona uislamu ni mfumo kamili wa utamaduni wa mwarabu tu.

Nilisikia mufti hawezi kuchaguliwa kama majina yake manne sio ya kiarabu
 
Bila shaka ni muumini wa Bwana Lusekelo ndugu yake na Charles Kitwanga..! Maana nimeona chanel ten akiwahubiria abiria wa kanisa lake akijiita chief na kupuuza majina ya wengine isipokuwa ya kinyakyusa nilicheka mno. Nafurahia sana kuwa mkatoliki aisei..
Sasa umeandika nini hapa, mambo ya ukatoliki yametika wapi? Kweli dini hufanya watu wasio na akili kua mataahira kama wewe ukatoliki ulivyokufanya.
 
ni kweli ila jina halina cha kufanya kwenye maisha,pia bado jamii nyingi lina ile surname ambayo huwezi ibadilisha iwe ya kizungu or kiarabu
Chukulia wewe unaitwa john paul nyambusi, mwanao anaitwa julius john paul, mjukuu wako itakuwaje? Nyambuai ndio hivyo imetoweka.

Utumwa wa fikra ni mbaya sana ndugu, sitaki kuamini hadi kizazi hiki bado tunaamini majina ya kizungu ndio yana maana na upako au ubarikio zaidi ya majina ya kiafrika.

Mtu anaona kumuita mwanae Loveness itakua na maana sana kuliko kumuita upendo. Alieturoga kashakufa.
 
Chukulia wewe unaitwa john paul nyambusi, mwanao anaitwa julius john paul, mjukuu wako itakuwaje? Nyambuai ndio hivyo imetoweka.

Utumwa wa fikra ni mbaya sana ndugu, sitaki kuamini hadi kizazi hiki bado tunaamini majina ya kizungu ndio yana maana na upako au ubarikio zaidi ya majina ya kiafrika.

Mtu anaona kumuita mwanae Loveness itakua na maana sana kuliko kumuita upendo. Alieturoga kashakufa.
akina shabani na akija paul hawatakuelewa labda baadae sana
 
Binafsi nilibadili jina langu form 2 na wanangu nimewapa majina ya asili.
Naona kinyaa sana mbantu kuitwa
abdadail rashidi hasani
Richard john james
 
Mkuu hiyo sio kweli, pengine waislamu wasio ufahamu uislaam wao, mimi ni muislamu na jina langu ni MPHINGU na watoto wangu wote wana majina ya kibantu, na mfano rais wa awamu ya Tano mh JAKAYA MRISHO KIKWETE ni muislamu na majina yake yote ni yakibantu.
Mwisho hata ile tabia ya mkristu anapo silimu, kupewa jina la kiarabu sio sheria wala lazima, anaweza akabaki na jina lake, na huku ni muislamu
 
Bila shaka ni muumini wa Bwana Lusekelo ndugu yake na Charles Kitwanga..! Maana nimeona chanel ten akiwahubiria abiria wa kanisa lake akijiita chief na kupuuza majina ya wengine isipokuwa ya kinyakyusa nilicheka mno. Nafurahia sana kuwa mkatoliki aisei..
kaka hata mimi ni mkatoliki tena mfia imani "pure", ila si kila linaloongelewa na wenzetu wa madhehebu mengine ni mabaya, binafsi sioni umuhimu wa kunakili majina ya kilatini na kijerema kwa kigezo cha kufuata "utakatifu" wa watu fulani. ...swali; kama sisi tunafuata imani kwa urithi wa watakatifu hata kwa majina, je watakatifu wa mwanzoni walifuata misingi ya majina ya akina nani? ..kama walitumia majina yao na wakawa watakatifu, je haiwezekani kwetu ikawa hivyo? ...je tukitumia majina yetu, hatuwezi kufika mbinguni?... na je matokeo ya kutumia majina ya "watakatifu" {wengi wakiwa wazungu) yamefanya watu kuwa wema??
 
Binafsi nilibadili jina langu form 2 na wanangu nimewapa majina ya asili.
Naona kinyaa sana mbantu kuitwa
abdadail rashidi hasani
Richard john james
napata nguvu sana katika yale ninayoyaamini kuona watu kama wewe wana fikra zinazofanana na mimi, aisee hata mimi huwa najisikia aibu na kichefuchefu kweli kuona 'mluguru' halisi kabisa tena wa tchenzema au kisaki akijiita Willamson Ferdnand Peter au Abdulrahman Maleek Twahil.
 
Waafrika alieturoga ametuweza.

Hadi miaka hii bado tunaamini majina ya kizungu ni bora zaidi kuliko majina ya kiafrika.

Sehemu kubwa ya watoto wanaozaliwa wanapewa majina ya kizungu, watu wengi wanaobatizwa wanabatizwa majina ya kizungu.

Kwani kuna mahala katika vitabu vya dini palipoadikwa ni lazima ubatizwe jina la kizungu au lililo katika vitabu hivyo?

Cha kushangaza watu hao hao wanaowapa majina ya lizungu watoto wao na wao wenyewe unakuta wanapiga kelele kua wanataka Africa iwe huru, uhuru upi wakati wewe mwenyewe hauko huru kifikra?

Miaka michache ijayo majina ya Kiafrika hasa hapa Tanzania yatakua yametoweka.

Waafrika tuna matatizzo gani?
Kwanza watoto wanabatizwa kwa majina ya kikristo na hayo majina yana maana yake, hakuna mtoto anayebatizwa kwa jina la kizungu, hebu nenda kanisani uwaambie mwanao anataka aitwe Vladmir.
 
Back
Top Bottom