Karma inaniumiza sana mwenzenu

Victor Mlaki

JF-Expert Member
May 1, 2016
3,468
3,342
Nawasalimu kwa dhati wanajamii wenzangu.Mara zote nimekuwa nikijifunza kutoka kwa wanajamii wenzangu humu na hata juu ya hili ninaamini nitapata suluhisho lake humu .Nimekuwa mkimya kwa muda sasa kutokana na kupata sononeko kuu linalotokana na mashindano kati ya mwili na roho.
Ninaamini humu kuna wataalamu wa "karma"naombeni mnishauri nifanye nini maana ni kama nahisi kuna kitu nakosea na sijakifanya lakini bado kitu hicho ni muhimu nikifanye.
Natanguliza shukrani.
 
Nimeu quote ili uki edit ibaki kumbukumbu
Nawasalimu kwa dhati wanajamii wenzangu.Mara zote nimekuwa nikijifunza kutoka kwa wanajamii wenzangu humu na hata juu ya hili ninaamini nitapata suluhisho lake humu .Nimekuwa mkimya kwa muda sasa kutokana na kupata sononeko kuu linalotokana na mashindano kati ya mwili na roho.
Ninaamini humu kuna wataalamu wa "karma"naombeni mnishauri nifanye nini maana ni kama nahisi kuna kitu nakosea na sijakifanya lakini bado kitu hicho ni muhimu nikifanye.
Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasalimu kwa dhati wanajamii wenzangu.Mara zote nimekuwa nikijifunza kutoka kwa wanajamii wenzangu humu na hata juu ya hili ninaamini nitapata suluhisho lake humu .Nimekuwa mkimya kwa muda sasa kutokana na kupata sononeko kuu linalotokana na mashindano kati ya mwili na roho.
Ninaamini humu kuna wataalamu wa "karma"naombeni mnishauri nifanye nini maana ni kama nahisi kuna kitu nakosea na sijakifanya lakini bado kitu hicho ni muhimu nikifanye.
Natanguliza shukrani.
Weka wazi mabo usaidiwe naweza nikawa msaada kwako nina diploma in theologia .....najua kwa unayopitia na hali unayoisikia ya kupoa ki huduma weka wazi au nifate pm nikusaidie

sent from toyota Allex
 
Weka wazi mabo usaidiwe naweza nikawa msaada kwako nina diploma in theologia .....najua kwa unayopitia na hali unayoisikia ya kupoa ki huduma weka wazi au nifate pm nikusaidie

sent from toyota Allex
Nimeweza wazi kuwa kinàchonisumbua ni karma na inasababisha mashindano kati ya mwili na roho.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom