Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Nataka nifungue Club ya Kisasa niwe nauza hizi pombe.
Mimi nitadeal na pombe za kienyeji tu. Pia nyama choma, utumbo, ndiz na kuku nao watatumika hawa wakienyeji ambapo mtu akitaka utumbo, miguu, kichwa, mbawa nk. Atapata.
- Komoni (Comon)
- Mbege
- Togwa
- Kangala
- Chang'aa
- Kimpumu
- Wanzuki
- Mnazi
- Ulanzi
- Kibuku
- Konyagi Mwitu
Mimi nitadeal na pombe za kienyeji tu. Pia nyama choma, utumbo, ndiz na kuku nao watatumika hawa wakienyeji ambapo mtu akitaka utumbo, miguu, kichwa, mbawa nk. Atapata.