Karibuni tujadili Ibara za kubaki, kuondolewa au kufanyiwa marekebisho kwenye Katiba ya Tanzania

Uzi unahusu katiba iliyopo halafu anajitokeza mpumbavu na kusema niwawekee rasimu ya Warioba huoni kama ni ushenzi?
Ushenzi wa nini sasa! Bado jambo linalo zungumzwa ni lile lile " Katiba ya Nchi ile ile, ya Tanzania"!! Na watu wamekuambia ukweli, muda wa kuiwekea viraka hiyo katiba iliyopo umekwisha!

Sasa wewe unalazimisha watu wajadili katiba isiyo endana na wakati wa sasa! Huoni utakuwa na matatizo?
 
Ushenzi wa nini sasa! Bado jambo linalo zungumzwa ni lile lile " Katiba ya Nchi ile ile, ya Tanzania"!! Na watu wamekuambia ukweli, muda wa kuiwekea viraka hiyo katiba iliyopo umekwisha!

Sasa wewe unalazimisha watu wajadili katiba isiyo endana na wakati wa sasa! Huoni utakuwa na matatizo?
Tafuta uzi unaohusu rasimu ya Warioba ukacomment huko.
 
Back
Top Bottom