Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,331
- 81,694
Ushenzi wa nini sasa! Bado jambo linalo zungumzwa ni lile lile " Katiba ya Nchi ile ile, ya Tanzania"!! Na watu wamekuambia ukweli, muda wa kuiwekea viraka hiyo katiba iliyopo umekwisha!Uzi unahusu katiba iliyopo halafu anajitokeza mpumbavu na kusema niwawekee rasimu ya Warioba huoni kama ni ushenzi?
Sasa wewe unalazimisha watu wajadili katiba isiyo endana na wakati wa sasa! Huoni utakuwa na matatizo?