Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,417
- 5,441
Mkuu nimesikia Sana hizo fulsa, Kuna watu wanatengeneza hizo batik hapo au bado wanazitoa huku? Wateja wa Migorore ya kimasai Ni wenyeji au Watalii?Wadau karibuni tutumie fursa za biashara hapa mjini MASERU bidhaa za; Vitenge, Batik, mashuka ya kimasai na mfereji maringo maana kina dada toka Ethiopia, Arusha, kigali wamejaa hapa wanapiga kazi. KARIBUNI SANA