Nimeamua niwapatie taarifa mapema ili kama humu huwa kuna utaratibu wa kuchangiana mnichangie aisee maana nataka nifanye bonge la sherehe ambayo haijawahi tokea hapa jijini Mbeya.
Hivyo hivyo nlivyosemaUnataka kusemaje?
Divorce! DaahHongera sana kwa kuoa ukiwa matured nina imani na mkeo mtarajiwa nae mkubwa pia wengine hata age yako hatujafika.. ila tumeshafunga ndoa at 27 na watoto na mpaka divorce zimetujia katika age wewe upo singo
Wewe unaolewa lini?Kila la kheri.
Wewe unaolewa lini?
Kwanza hongera kwa hatua hiyo nzuri, naamini unasema kweli kabisa. Nitakuwa wa kwanza kukuchangia utakapothibitisha kuwa ni kweli. Nikiwa mkaazi wa Mbeya aliyeko mbali na Mbeya kwa sasa, nakuahidi ushirikiano wa dhati. Utatumia hata kausafiri kangu kako hapo Mbeya siku ya harusi yako. Uendelee kutujuza mkuu. Mwezi ujao nitakuwa Mbeya na uniweke kwenye kamati.Hamjambo humu ndani?
Baada ya miaka 37 ya kutapatapa katika dimbwi la usingoboi hatimaye ndugu yenu natarajia kujipatia jiko mwaka huu mwezi wa 8 au wa 9 hivi. Karibuni sana.
Shemeji yenu nimempata humu humu JF...sikutaka kujitaabisha mpaka huko FB au insta kwa wafilisiti.
Nimeamua niwapatie taarifa mapema ili kama humu huwa kuna utaratibu wa kuchangiana mnichangie aisee maana nataka nifanye bonge la sherehe ambayo haijawahi tokea hapa jijini Mbeya.
Siku shemeji yenu akinipa jibu la Yes I do ntampost na ntamuweka hadharani ili uwe ushuhuda kwa wanaJF wote.
Mniombee sana ili anikubalie bila kinyongo.
Asanteni na niwatakie usiku mnono nyote.
Tughimbe ndiyo mahala sahihiAise mkuu naomba kadi ya kamati ila upande wa vinywaji, tuanze maandalizi Dhamira Hall au Tughimbe😂
Hii Marafiki iko sehemu gani pale Ilomba, nina muda kidogo sijafika Mbeya.Kuna dalili zote hii harusi itafanyika pale Marafiki Ilomba...
Stand ya Ilomba kwenda Uyole, kwenye kona unavyofuata barabara ya kwenda Isyesye, kushoto kwako utawaona vijana "wanaunguza" nyama. Ni maeneo hayoHii Marafiki iko sehemu gani pale Ilomba, nina muda kidogo sijafika Mbeya.