Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Jamani, hebu njoni tupige stori tu
Kuna mtu kaniibia pochi yangu hapa Kariakoo nina hasira ya kula mtu mzima mzima
Nahisi nataka kupandisha mori
Bora niwakaribishe kwa kahawa na biya hapa
Labda ntatuliza mawazo, washindwe wezi wote waliopo hapa usoni mwa dunia.
. . . . . .
Kuna mtu kaniibia pochi yangu hapa Kariakoo nina hasira ya kula mtu mzima mzima
Nahisi nataka kupandisha mori
Bora niwakaribishe kwa kahawa na biya hapa
Labda ntatuliza mawazo, washindwe wezi wote waliopo hapa usoni mwa dunia.
. . . . . .