Karibuni jamani mabingwa wa kuhonga

Askari Muoga

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
6,113
4,645
Karibuni wazee wa jaza ujaziwe, wazee wa kuhonga, maneno pesa sauti kelele. Karibuni tuzidi kuboresha huduma zetu kwa hawa watoto wazuri

Sema tunakula hasara, one time Demu ananipigia simu anataka kwenda Mwanza mama yake anaumwa dah ilikuwa Xmass basi nikamtumia vijipesa duh kumbe kanidanganya naona anapost picha yupo beach akila bata dah na bonge la Caption: Ujinga wako ndio mtaji wangu

Khaa sihongi tena labda unikabe
 
Sio mjue kuhonga tu, pia kitandan mjitahid sio kwakua umenihonga basi unajua ndo ushamaliza kila kitu, performance muhim pia sio kitandan unageukageuka tu ka chatu anavua ngozi, bt kumbuken pesa ndo muhim zaid hapo, performance ni kachumbar tu.
 
Inauma sana...nimekutana na DEMU siku nne kabla ya Mwezi Mtukufu kuanza..Siku mbili kabla Demu kanipiga mzinga KIDUME nikajitutumua nikampa KIASI alichohitaji na ziada juu.

Suku moja kabla ya kuanza MFUNGO nikamwambia "naona kwa sasa hakuna kitakacho fanyika...nashauri swala la PA**CHI itakuwa ni baada ya MFUNGO...

Tulikubaliana vizuri....ajabu mwenzangu uvumilivu umemshinda, nilisikia (na sasa nimeshuhudia) rafiki yangu wa karibu anajilia mzigo ndani ya MFUNGO...

Nimechoka kwa kweli..
 
Sio mjue kuhonga tu, pia kitandan mjitahid sio kwakua umenihonga basi unajua ndo ushamaliza kila kitu, performance muhim pia sio kitandan unageukageuka tu ka chatu anavua ngozi, bt kumbuken pesa ndo muhim zaid hapo, performance ni kachumbar tu.
Kama bado hujaolewa basi jitahidi sana uolewe.
 
unajua humu tunajaribu kujifariji tu
kuna wale tunaosema hatuhongi ila kiuhalisia tunapasuka sanaaa

na wale tunaojiita team kuhonga kiuhalisia ni dume suruali

pia wapo wasemao ukweli

usiwaamini sana watu wa jf
Hujasema we uko upande gani mkuu.
 
unajua humu tunajaribu kujifariji tu
kuna wale tunaosema hatuhongi ila kiuhalisia tunapasuka sanaaa

na wale tunaojiita team kuhonga kiuhalisia ni dume suruali

pia wapo wasemao ukweli

usiwaamini sana watu wa jf
Umeonaeee uncle wangueee

Vipi shangazi espy Yuko wapi babu Daby kaniambia umemuachaa..

cc: espy
cc: Daby

 
Juz kuna demu kaniuliza uko wapi saiz nikamjibu niko dinner bas akajua ndio time ya kunipiga kizinga ety ooohhh najiskia vby nibebee chips yai utakuta hela yako huku room (Hostel) bas nikabeba kufika room yake akajua taona aibu pokea hela yake mbele ya mashost zake kmb nina roho ya paka nikapokea na kuwatakia ucku mwema.
 
Back
Top Bottom