Raelish
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 489
- 162
Kuna watu wengi wanapenda kulima ila kutokana na majukumu mengi wanashindwa kusimamia, mimi nawasaidia watu wa namna hiyo.. ni hivi unanipa laki 4 kwa ekari moja alafu mi nakupa laki 5 nikishavuna, maana yake ni kwamba hela yoyote utakayonipa wew utapata faida 25%, ukishanipa pesa we unatulia tu kusubiria chako kila kitu nafanya mimi, na ikitokea mafuriko au wadudu kuharibu mazao mimi nitawajibika kukulipa kama tulivyokubaliana.. KARIBU SANA