Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,327
- 69,565
Tatizo unafanya mockery ila unadhani kuwa wote tupo sawa. Shauri yako boss.Ziko nyingi Sana Kama IST mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo unafanya mockery ila unadhani kuwa wote tupo sawa. Shauri yako boss.Ziko nyingi Sana Kama IST mkuu.
Hahah sawa mkuu.chukua kitu Chenye 5.0-liter V8,achana na EcoboostTatizo unafanya mockery ila unadhani kuwa wote tupo sawa. Shauri yako boss.
😂😂😂 sawa bossHahah sawa mkuu.chukua kitu Chenye 5.0-liter V8,achana na Ecoboost
All the best.
Kale kale kabisa kakufunga na kufungua kale kana gonga 30milHahah aisee mkuu, Toyota soarer 2001 model(convertible) yenyewe inaendaje mkuu?
Niweke pia na Bei ya Lexus sc430 ya miaka hio hio mkuu.
Mwaka Jana nilizicheki Bei ilikua kawaida tu,nikaja kuzicheki tena this time around naona CIF ikawa imepanda 2×,sijui hata kilitokea Nini mzee.
Hahah ndio ugonjwa wangu huo,niliwahi kua na Mazda Miata nayo Ni convertible sema tatizo ilikua soft top,Ila kalikua enjoyable.Kale kale kabisa kakufunga na kufungua kale kana gonga 30mil
Cc zake ni 4,300 hivi
Supra inasubiri pale mzee wangu
True story mzee wangu, true story!!Hahah ndio ugonjwa wangu huo,niliwahi kua na Mazda Miata nayo Ni convertible sema tatizo ilikua soft top,Ila kalikua enjoyable.
Hata Sasa hivi naitamani sana Honda S2000 Ila price iko juu Saaana so option nitakayokua nayo Ni hio soarer,Bmw z3/z4 tatizo lake Ni reliability hapo.
Hizo cc4300 zisikutishe Sana,linatoa HP 280 tu.Hio engine yake 3UZ-FE ilishakua pia kwny crown majesta
Kama ni new model mzee wangu, ile yenye shape fulani kama ki -suvVipi kuhusu price na upatikanaji wa IST new model (kuanzia 2008), 1300cc, 2WD
Kama ni new model mzee wangu, ile yenye shape fulani kama ki -suv
Ambayo iko tofauti kabisa na ist zote za kawaida, ile huwa cc zake huanzia 1,490cc mzee
Ila zile zingine ndio huwa zina hizo cc mzee
Sasa sijui ndio hiyo wamaanisha?
Karibu sana
Good Morning Mzee,Yes, haswaa nilikuwa namaanisha hiyo IST yenye shape hiyo lakini iwe 2WD kama ipo, sikuwa najua hizo engine CC zake kwa uhakika.
Please nipe price
Nimekupata vizuri.Good Morning Mzee,
2WD tuliyonayo ni ya 2009
Gharama zote jumla hadi mikononi ni Tzs 20,036,400/=
Lakini unaaeza kuqgiza kupitia sisi EAPGS, ukalipia tuu Tzs 11,414,400/=
Unaletewa gari yako pendwa na kukabidhiwa
Tzs 8,622,000/= iliyobakia unamalizia kwa awamu 12 ( Mwaka mmoja )
Kila mwezi , Tzs 718,500/=
Swali zuri mzee wanguNimekupata vizuri.
Naona bei ya hizo IST new model imechangamka, inafika mpaka 20m.
Nini kinafanya kuwa na hiyo wide price gap ikiwa utailinganisha na old model while karibu kila kitu kiko sawa ukiondoa body shape?
mkuu office yako umesema ipo mbeya, je lazima tuje huko? mfano wen'gine tupo dodoma wanahituaji huduma yako itakuwa je?
Mzee wangu, kuhusiana na suala la kuja au la, naweza kusema huo ni uamuzi binafsi wa mteja. Lakini popote pale ulipo huduma yetu unapata, zaidi unaweza kutuma muwakilishi wako pia ukipenda.
na tunakuomba utuwekee number ya simu hiyo ya whatsaap
Ipo public kabisa mzee, hata kwenye post hapa ipo sana
+255 682 274 097
na vipi kuhusu hayo malipo yalobakia ambayo mtu anatakiwa alipe kwq muda w mwaka?
mnamuamini vipi mtu?
Tunatararibu zetu kama Kampuni mzee.
naomba utupe masharti, na je hii kwa waajiriwa tuwatapata huduma hizo? , au
kwa mtu yoyote yule ?
Nchi haijengwi na waajiriwa tuu, sio muajiliwa pekee ndiye anayestahili kuwa special treated. Kuna waliojiajiri pia, nao ni watu na wanastahili a good treatment.
Sisi tupo kwaajili ya wote.
Karibu sana