Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,168
- 7,508
Mkuu nta kupost hapa..we bsha bsha tu...sema suuuuTeh Sina shavu ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nta kupost hapa..we bsha bsha tu...sema suuuuTeh Sina shavu ujue
ushakosea mkuu basi tena mi nmesema useme "Suuuu"..we mwenzangu umesema "Suuuuuuuuu"Suuuuuuuuuuuuu
Inaitwa 'chai ya mkandaa' kwa lugha ya kiswahili sanifuHabari zenu wapishi.
Naomba kufahamu jinsi ya kuandaa viungo vya chai ya rangi. Yaani niweke viungo pekee bila majani ya chai iwe tamu na kunukia vizuri.
mama ndalichako ndo kashakutunuku DIV 0 kamfate mwambie mbona nmefeli sasa mama..Tunafanyaje hapaIlikuwa ni msisitizo
we nawe mkuuu...Kwanza naskia Njaa mimi Kafanye mchakato basi huko jikoni mana sielewiiiEnzi za mwalimu hakuwepo ndalichako
Sasa mbegu za parachichi ukanipikie nn na hzo?? Labda kama unaenda kuzipanda (nimeshashiba kama)Ndo natafuta mbegu ya parachichi na mafuta ya alizeti
Ha haaa Kuna wadau wameniambia ni nzuri kwenye chai, mwingine kaniambia mafuta ya alizeti na kitunguu swaumu..bas nawaza hapa hiyo chai ya kitunguu swaumu itakuajeSasa mbegu za parachichi ukanipikie nn na hzo?? Labda kama unaenda kuzipanda (nimeshashiba kama)
kuna watu wanashauri dawa walizoambiwa watumie na Madaktari sasa we tengeneza uone....Ha haaa Kuna wadau wameniambia ni nzuri kwenye chai, mwingine kaniambia mafuta ya alizeti na kitunguu swaumu..bas nawaza hapa hiyo chai ya kitunguu swaumu itakuaje
Mimi situmiagi majani huwa namix vyote hivyo kwa wakati mmoja chai huwaNgoja nikupe mixed spices zinazoleta chai amazing
1.
Mchaichai +tangawizi mbichi
2. Mdalasini +karafuuu
3.iliki+ majani ya limao + mdalasini
4. Karafuu+pilipimanga +iliki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi situmiagi majani huwa namix vyote hivyo kwa wakati mmoja chai huwa
Sent using Jamii Forums mobile app
😜😳Hii ni nzuri zaidi na hata ladha yake
1. Vitunguu swaumu
2. Pilipili manga
3. Mdalasini
4. Mafuta ya alizeti
5. Vitunguu maji..
Kaaanga mpaka viive kabisa viwe vya brown...halafu mimina maji yako chai.acha ichemke sana. Hapo tayari kwa kunywa.
Ni kweli Mkuu kwa ladha na kinywaji chenye afya booora kabisaMnanichanganya nyie jamani 🤣🤣🤣
😀😁😂Hiyo kunywa mwenyewe 😂😂😂
Mmmmmmhhh!Basi kaaaziNikikuta mdada anajifunza kutaka kujua kupika kitu chchte namtamani najiskia kumtaka taka tuuu yani...
Andaeni jamani mi naenda kuleta kichujio..et kipo kabatini eeeh au kule nnje