Napenda sana tangawizi, naweza nikaongezea hapo? Mchaichai upo hapa nje kwangu. Vipi huko haipatikani? Tafuta uotesheMdalasini, Karafuu na Hiliki, kaanga kidogo kisha saga mpaka upate unga wake, unakua unachota kidogo kidogo.... mchai mchai pia uko poa,
(OMG, chai ya mchai mchai , i miss home)
Yes dia unaweza kuongezea, ukaikausha Tangawizi ukaisaga ukachanganya unga wake pamoja na hivyo viungo lakini kwa mimi napendelea kubadilisha ladha, leo chai ya tangawizi, kesho ya viungo.Napenda sana tangawizi, naweza nikaongezea hapo? Mchaichai upo hapa nje kwangu. Vipi huko haipatikani? Tafuta uoteshe
Okay dear, thanksYes dia unaweza kuongezea, ukaikausha Tangawizi ukaisaga ukachanganya unga wake pamoja na hivyo viungo lakini kwa mimi napendelea kubadilisha ladha, leo chai ya tangawizi, kesho ya viungo.
Nitautafuta sina hakika kama upo lakini next time nitachukua tu mbegu nipande.
Ladha na kiafyaUzuri wake ni ladha au kiafya zaidi? Nataka chai tamu isije ikaharibu flavor ya viungo vingine
Ladha yake nzuri ukitumia Majani yake ya chai sio Majani mabichi na ukichanganya na viungo kama ivo basi inakuwa bomba zaidiUzuri wake ni ladha au kiafya zaidi? Nataka chai tamu isije ikaharibu flavor ya viungo vingine
Yaani hapo ni kuwa na aina zote hizo kila siku unabadilisha flavor. Hapo kwenye majani ya limao ndo nasikia Leo...huu mlimao kabisa au lemon grass ambao ni mchaichai?Ngoja nikupe mixed spices zinazoleta chai amazing
1.
Mchaichai +tangawizi mbichi
2. Mdalasini +karafuuu
3.iliki+ majani ya limao + mdalasini
4. Karafuu+pilipimanga +iliki
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hapo ni kuwa na aina zote hizo kila siku unabadilisha flavor. Hapo kwenye majani ya limao ndo nasikia Leo...huu mlimao kabisa au lemon grass ambao ni mchaichai?
Naleta posa
Ok nimeelewa, ninayakausha Kwanza?Lemon leaves
Not lemon grass
Majani ya limao
Huwa unakunywa iced tea?
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁 besiti wishezi HornetUmechelewa
And the bad thing wangu hanywi chai hata utilie kitu gani!!
Sent using Jamii Forums mobile app