NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Yaliyopita sindwele,lakini kosa kubwa la Yanga ni kuacha wachezaji zaidi ya watano akiwemo papaa Molinga aliyekuwa kinara wa magoli kwenye kikosi cha Yanga mpaka anaondoka.
Kuhusu wing back wa kumwaga maji pale Yanga hakika Juma Abduli aliweza.
Center half bora kabisa mwenye uzoefu wa kuwaongoza wenzie alikuwa ni Yondani anawapanga wenzie vema ndani ya uwanja lakini na yeye alikua anatimiza majukumu yake vizuri.
Kigezo cha ku-draw mechi mfululizo sio cha kuifanya timu kuwa mbaya,ila wakipata kocha mzuri akafanya marekebisho machache mbona yanga itakua ni moto.
Timu ya Yanga ukiangalia kwa macho tu wanavyocheza hata kama sio kocha unaona hawa kwenye mazoezi hawafundishwi kucheza ki timu,wanakwenda kwenda tu.
Kuhusu wing back wa kumwaga maji pale Yanga hakika Juma Abduli aliweza.
Center half bora kabisa mwenye uzoefu wa kuwaongoza wenzie alikuwa ni Yondani anawapanga wenzie vema ndani ya uwanja lakini na yeye alikua anatimiza majukumu yake vizuri.
Kigezo cha ku-draw mechi mfululizo sio cha kuifanya timu kuwa mbaya,ila wakipata kocha mzuri akafanya marekebisho machache mbona yanga itakua ni moto.
Timu ya Yanga ukiangalia kwa macho tu wanavyocheza hata kama sio kocha unaona hawa kwenye mazoezi hawafundishwi kucheza ki timu,wanakwenda kwenda tu.