Thubutu.Chadema ni CCM-B
Thubutu.Chadema ni CCM-B
Nimetonywa mahala kwamba bwana makalikiti wa namungo fc. Siku zake zinahesabikaSukuma gang mbona mna-panic??
Nachojua ubunge ni wa kijimbo sio kikabilaKabla ya Ndumbaro unamjua nani alikuwa mbunge wa hao wangoni? Deo Gama aliyewahi kuwa mkuu wa Kilimanjaro!!!
Aliisotea japo Kuna utataVipi kuhusu PhD yake, ni kama ya Msukuma au yeye aliisotea?
Nani huyu?Ph.D yake kama zilvyokuwa nyingi za Mzumbe wakati huo ni ya kimagumashi kwani aliyemsaidia alizawadiwa kuwa katibu mkuu wa Wizara na huo wadhifa anao mpaka leo!!
Hivi kashatua Tanzania?Mbunge wa Songea anarudi!
Ni Dr Gama siyo NdubaruNi Dr Ndubaru sio Gama
Hilo sikulijua
Dr. Gama alipofariki ndo akaja Dr. NdumbaroHilo sikulijua
Mmmmhh!!!ANGALAU nCHIMBI SIO FISADI.
Mkuu umeongea kitu cha maana sana, nawaambia watu kila siku matatizo yote ya katiba mbovu msingi wake ni Nyerere. Alitengeneza katiba ngumu sana ya kumlinda yeye binafsi, serikali yake pamoja na chama. Akaondoka akaiacha kama ilivyo sasa inatumiwa na viongozi wa ovyoNyerere wa keshokutwa ndo ametufikisha hapa. Alikata kona kabla ya kona yenyewe.
Kama alijua katiba ya 1977 haikuwa mzuri mbona aling'atuka irihali hajaifanyia mabadiriko.
Kina #Kambona ndo waliokuwa wanaoona mbali.
Majuto nimjukuu.
Wasomi wa Nchi hii, ni furu kujinyenyekeza. JPM
R. I. p ametufundisha mengi tukome. Elimu siasa,.
Hizi tabia za kutegemea siasa au teuzi za serikali ili kuendesha maisha yako ni za ovyo sana, uzoefu alionao aende sekta binafsi na yeye afungue kampuni aajiri wengine, wengine wanaandika kama hakupiga imekula kwake, mentality za ufisadi hizi na kufikiri serikali ni sehemu ya wizi na kujitajirisha, watu lazima wajue sekta binafsi ina opportunity nyingi mara milioni kuliko serikalini, tubadilike
Hakutaka CCM iondoke mamlakaniMkuu umeongea kitu cha maana sana, nawaambia watu kila siku matatizo yote ya katiba mbovu msingi wake ni Nyerere. Alitengeneza katiba ngumu sana ya kumlinda yeye binafsi, serikali yake pamoja na chama. Akaondoka akaiacha kama ilivyo sasa inatumiwa na viongozi wa ovyo
Nani anisaidieni tafsiri ya sukuma gang japo kwa sentensi 3, katika muktadha wa sasa.Hujui kama anaogopwa na sukuma gang au unajitoa ufahamu?
Anamaanisha Majaliwa!kisa ameanza kamtandao kake ka Uraisi 2025!!Amemuhujumu mama kule Bandarini na figisu kibao!!Dadavua kidogo Mkuu
M wa M na M C C soonWanadai kaandaliwa nafasi kubwa aidha chamani au serikalini. Ni kiunganishi muhimu kuelekea uchaguzi wa chama 2022 na ule Mkuu 2025.
Gama alikua mtu na nusuKabla ya Ndumbaro unamjua nani alikuwa mbunge wa hao wangoni? Deo Gama aliyewahi kuwa mkuu wa Kilimanjaro!!!
Mnafikir kila balozi ni wa kuzalisha masoko tu na wawekezaji?Amezalisha wawekezaji wangapi na kutafuta masoko kiasi gani ya bidhaa za Tanzania?.
Hatuwezi kuwa na mabalozi mizigo
Unamaanisha Makamu wa Mwenyekiti na M C C?? ndio nini?au una maanisha C C M??