Karibu nyumbani baba

nyambari

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
355
171
Baba Ridh akirudu nyumbani baada ya kutoka safari ya kuwatafutia riziki wabongo.
8E9U0132[1].JPG
 
suti hiyo ni one of those alizopewa na jamaa mwarabu ndo ameibikiri.
 
Pinda; iMkuu hii suti mbona sijapata kuiona au jamaa wamekupa zingine?
Mkulu; Acha hizo wewe! hiyo sio sera yetu ya kuuliza maswali ya zawadi. Anyway Igunga vipi tena Mbona naambiwa Rage Anatembe na mguu wa kuku nje nje?
Pinda: Ahh! kaharibu kweli, sisi tumepakaza kuwa kuna komandoo 33 toka Afganistan halafu yeye analeta mambo ya Mogadishu tena.
 
Alienda kwenye semina ya malaria mbona hakwenda na waziri husika au ndo kubadilisha damu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
yaani hii picha na title yake,ningekua bi tunu,ningemuambia mume wangu aache kazi! yaani yy anatoka kumkaribisha mtu nyumbani,akija na mie nampokea 'karibu nyumbani baba'? inauma aisee,wengine tuna wivu wa nyau!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom