Karibu mgeni Tanzania Commercial Bank. Benki ya Biashara ya serikali

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,457
154,323
Serikali imerudi kwa kasi kwenye Biashara mbalimbali, na Sasa inakuja na Benki kubwa ya kibiashara Tanzania ambapo itamilikiwa kwa 100% na serikali.
Benki itaenda kwa jina la Tanzania Commercial Bank.

Inatokana na kuunganishwa kwa Benki ya Posta, Tanzania Postal Bank, Tanzania Investment Bank na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Tanzania Agricultural Development Bank.

Mchakato unafanyika kimyakimya chini ya uratibu wa Bank of Tanzania.

Kaeni tayari kwa hiki kitu kipya.
 
Huu muungano utafanya wengne wapunguzwe kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima watu walambishwe sakafu
Ikiwa ni ya serikali 100% that means NMB tutegemee walie

Sent using Jamii Forums mobile app
NMB Bank Plc Stock Ownership
Rank Name of Owner Percentage Ownership
1 Rabobank of theNetherlands 34.9
2 Government of Tanzania 31.8
3 Private Investors via DSE 25.0
4 National Investment Company Limited (NICOL) 6.6
5 TCCIA Investment Company Limited 1.7
6 TOTAL 100.0
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom