Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,592
- 5,481
Utakuwa unaishi kwa shemeji yako wewePost yangu uliyoinukuu nimei-edit na inasomeka kama ifuatavyo kwa sasa:
"Kama unachosema ni kweli, na anatumia mkakati wa kibiashara kuzifuta, na iwapo kweli zitafutika, tatizo liko wapi? Ikitokea kweli zikafutika maana yake zina kasoro kubwa, hazikutakiwa kuwepo. Vinginevyo kama ziko safi hazitaftutika na hakuna anayeweza kuzifuta!"
Je bado nimekosea tu kulingana na mtizamo wako
o wako?