Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Napenda kuwakaribisha Kwenye usakilizaji wa Kipindi cha Teknohama Katika Morning Star Radio 105.3 fm hapa jijini dare s salaam kuanzia saa 3 Asubuhi siku ya jumapili yaani Kesho .
Kesho tutaongelea masuala ya Ulinzi na Usalama haswa kwenye mambo ya Programu kama Antivirus na mengine mengi , karibu sana kwa kuuliza maswali ambayo yatakuwa tutajibu moja kwa moja , maoni na ushauri mwingine ambao utauweza kuutoa kwenye kipindi hicho .
Karibu tutumie nafasi hii katika kuelimisha jamii yetu kuhusu masuala mbalimbali ya teknohama Tena kwa lugha yetu Nzuri ya Kiswahili .
Kesho tutaongelea masuala ya Ulinzi na Usalama haswa kwenye mambo ya Programu kama Antivirus na mengine mengi , karibu sana kwa kuuliza maswali ambayo yatakuwa tutajibu moja kwa moja , maoni na ushauri mwingine ambao utauweza kuutoa kwenye kipindi hicho .
Karibu tutumie nafasi hii katika kuelimisha jamii yetu kuhusu masuala mbalimbali ya teknohama Tena kwa lugha yetu Nzuri ya Kiswahili .