k majaliwa
Senior Member
- Jul 31, 2017
- 140
- 186
Hana haja ya kukiuza tena maana amekingoloa kila kitu, wabunge wenu na madiwa warejea chama tawala. Chama chenu hakiuziki tena amekitupa jalalani maana hakifai tena Hakuna wakukiokoa wengine wananyea debe segerea wengine wanatembelea magongo huko walipo, wengine wameshona midomo yao , hali ni tete hali si hali chadema kifo cha mende! Asante EL kazi tuliyokutumma umeimaliza.Mlisema kanunua chama je kakiuza kwa nani au pesa yake imerudi na faida kapata Nb punguzeni unafiki mtavutwa ndimi mkifa kalibu tena jamvini mteule wa magogoni
Najua mioyoni mnaumia lkn hakuna namna chimbeni kaburi zikeni chadema anzisheni chama kingine, mkishindwa rudini kundini japo mtakuwa hamna mikia
Sent using Jamii Forums mobile app