Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Paul Makonda kawa DC?
yaani ni sheeeeeeedah!
Last edited by a moderator:
Paul Makonda kawa DC?
Nimeona taarifa ya katibu wa CHADEMA wilaya ya kinondoni.Bwana KILEWO ni ya uongo tena ni aibu kiongozi kudanganya hadharani. Kwa kumkalibisha mkuu wa mpya wa wilaya ndugu MAKONDA kwa kumwambia kuwa kinondoni ni ngome ya chadema hili sio kweli,ukweli nikwamba.kuanzia tarehe 14 desemba 2014.baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa majimbo yote ya kinondoni yapo CCM. kwa wingi wa kura JIMBO LA ubungo CCM 39,215.=52.0% CHADEMA 23,091=30.6% JIMBO LA KAWE CCM 17,209=50.4% CHADEMA 12,092=35.4% JIMBO LA KINONDONI. CCM 22,531=49,6% CHADEMA 5,156=11.3% sasa hapa ngome ya chadema ipo wapi? Au bwana kilewo hajui maana ya ngome au alikuwa uchagani moshi hana matokeo?
ccm kuna watu wajinga sana
Nyerere aliona mbali sana yaani anachofanya Kikwete ni kama mzaha, mbali ya tabia za Makonda Kinondoni is a center for international business, diplomats and residential embassies zipo kinondoni, kumteua mtu anayejulikana kwa ukorofi kuwa mwenyekiti wa ulinzi na amani wa wilaya unatarajia kitu gani kama sio kuandaa mazingira ya vurugu.Jk maliza haraka uende bhana, umepoteza matumaini yote watanzania uliyotujengea mwaka 2005 wakati ukiingia madarakani, nimeamini nyerere alikuwa nabii. Kwa kuwateua wahuni kama kina makonda kuwa wakuu wa wilaya umeidhalilisha ikulu na ukuu wa wilaya wenyewe! Tafadhalini sana wana ccm tulizeni vichwa msije mkatuletea mtu kama huyu tena!
jk ni hasara bora yule rais wa somalia sheikh sharifu akiekuwa na serikali yake nairobi
Wewe Kijana utulie huna ubavu wa kujibizana na Makomda!
Una kaa na kujidanganya eti Kinondoni hiko chini ya CHADEMA,mbona hamfanyi uteuzi wa wakuu wa wilaya?
Molemi hiki ndicho alichowahi andika Pr.Morgan " The image of an organisation"
Ccm huu ndio utamaduni,mila,miiko na maadoli ya chama.
- Makonda alimtukana warioba,Tundu Lissu,Lowassa,na kumpiga Warioba amepata cheo Dc
* Mwigullu alimtukana Mbowe,akatupa hotuba ya bajeti ya upinzani bungeni na akatengeneza video ya ugaidi na kusema chadema wamehusika akapata uwaziri wa fedha.
* kamuhanda aliwaongoza maaskari kule Iringa kumpiga na kumlipua bomu akapanda cheo.
Tunamsubiri hata aliyewapiga Mabomu wanafunzi kule Tunduma wakiandamana kugongwa kwa wenzao wawili na yule aliyepiga bomu Soweto Arusha wakati wa Kampeni za Chadema na yule aliyempiga Lipumba.
Aidha tunasubiri na Asha Bakari aliyemtukana matusi Jussa na kumwita ni Mhindi nae kabla ya uchaguzi wataukwaa u- kiongozi mkuu
Uwii kampiga mzee warioba na kuwa mkuu wa wilaya
Usisahau na ile ya Juma Nkamia kutukana ndani ya bunge kuwa HAONGEI NA MBWA ghafla akatunukiwa unaibu waziri. Kwa sasa amebaki Lusinde a.k.a Kibajaji sijui naye atatunukiwa nafasi gani kama heshima kwa matusi anayovurumisha ndani ya bunge.