Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuwa mwanamke sio hasara na ukisema ni hasara obviously utakuwa unamkosoa mungu kwamba hamkupaswa kuwa hivyo sio? mimi kitendo cha kuona mnazungumziwa sana humu nakichukulia kama nyie watu ni wapekee na muhimu sana ili maisha yawe perfect. unawezaje kumzungumzia mtu au kitu ambacho hakina faida? hata watu wakawaida wanaofatiliwa sana ni wenye impact wasomi wanasiasa matajiri hukosi story zao kila kukicha. tatizo la wanawake ni kutojitambua na kujiweka katika mazingira yanayowafanya muonekane weak na inferior wanawake wengi wanajiona hawawezi bila external support wakati sisi wanaume external support tunaona aibu so tunajitutumua wenyewe ila ni dhana tu ndo inayowatesa wanawaketumeshazoea, kuwa mwanamke ni hasara.
Nikupe siri Excel prostitutes wapo karibu kila sekta ila ni nadra sana kupata mwanamke mwanajeshi prostitute!
kupiga dash kunahusika hapa
Wadada wenye majina kama Smile na charminglady au charminggirl katika hali ya kawaida ni wazuri. Majina ya namna hii huwa yanamsababishia mhusika psychological conditioning na kumfanya kuwa na tabia inayoreflect jina lake. Sasa sijui wenzetu.
haa haa haa huo mtonyo ndio nini, hili neno nilianza kulisikia kwenye bibi bomba. hata sikuelewa maana yake.
From ur comment it doesnt take a brain surgeon to know u are one of the NUNGAYEMBE!pity.
Daah mzeiyerr..naona umelenga mulemule maana mamanzi nyanya chungu (wabaya) wanasumbua sana mixa kua na mastress ya kutosha na nk..sijui ndo kukata tamaa or whatever mie sielwewiiiyyyy...over...Wadada wabaya ndio wanaoongoza kwa kauli mbaya.
Mara nyingi nikienda maofisini kutafuta huduma mbalimbali napokelewa na akina dada. Sasa katika "observation yangu for years". Nimekuja kugundua kuwa wadada wengi wabaya (tabia, roho, wanavyovaa, makeup, moods zao, feelings, mawazo, perception zao towards themselves (kujikubali au kujikataa) and towards others, namna wanavyochangamana na watu, communication skills, etc., - hivi vyote na vingine ndivyo vinawafanya akina dada wawe wabaya au wazuri) wana kauli chafu/mbaya.
Utawakuta muda wote wana hasira, hawako tayari kukusikiliza au kukuhudumia, yaani watakuhudumia kwa kujilazimisha wee mpaka kero. Usiombe afungue mdomo kama unamwuuliza kitu, kauli yake unaweza kuzimia!
Lakini wadada wazuri ukikutana nao, hata kama ulikuwa unamtafuta The Boss - labda, Manager, Mkurugenzi, Headmaster, dah, shida yako inaweza kuishia hapo!
Yaani unakuta mdada sauti nyororo (natural, sio ile fake kama Mmarekani), anakusikiliza vizuri, halafu anakuangalia machoni, macho safi yanang'aa halafu yanablink blink kidogo kwa mbali, aibu kidogo ya kishikaji, amevaa vizuri, halafu anapendeza, hakuna kitu chochote fake mwilini mwake (vinavyoonekana, huko ndani sjui, anajua yeye).
Wadada wazuri mara nyingi wamenikaribisha vizuri "Mambo kaka? Karibu, karibu kiti, nikusaidie nini kaka? Kama ukimweleza umepata shida kuhusiana na huduma fualani, utasikia "Pole mpenzi", akiwa romantic sana "pole mpenzi wangu, nafuatilia swala lako sasa hivi", etc.,
Sasa ukitaka kujua wadada wazuri au wabaya kwa sifa nilizozianisha hapo juu. Fuatilia comments zao au kauli zao humu Jf, hawajifichi ng'o. Hata kama huwajui lakini haiwezekani "consistently" mtu akawa na kauli kama maji ya ndimu, ndio tabia zao. Kwa hiyo, wale mnaodate online hasa Jf, kama unataka/hutaki garasha, anza na comments au threads zake.
NB: Sitaji mtu, sitaki kesi. Over