Paloma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 5,332
- 4,951
Wadau wa JF CC, mwaonaje hali!?!?!?!eace:
Kwa mara nyingine tena , katika jitihada za kuondoa makunyanzi usoni na moyoni…..famile ya CC inapenda kuwafahamisha kuwa bro wetu, rafiki, baba, bamdogo, bamkubwa wetu, babu yetu, mpenzi wetu MJEDA wa LEO TUPO HAPA Pub anatarajia kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa mnamo tarehe 22 March 2013
.:clock: Hakika amekula chumvi si haba!!!! Hivyo basi kama kaiwaida yetu majira ya kuanzia saa kumi na mbili jioni tukutane ndani ya leo tupo hapa kwa ajili ya surprise party kwa mpendwa wetu MJEDA kabla hajaenda DARFUR kulinda Amani kwa mtutu!!! (makubwaaa!!!!!)
Kma kawaida mzee Mtambuzi (mhh pole yako ya kushikwa ugoni na utakuja kueleza vizuri ilikuwaje maana…..!?!?!) ameshaandaa maulabu na viburudisho vya kumwaga!!! govinder kumar
Contesa
heheheheeeee ……………. …… na Dompo!!!
Wale matajiri wa kihaya kuna hizi kitu zenyuuu
na hizi
Mjeda mwenyewe amekuja nah ii kitu spesheli MziziMkavu atupe analysis ya alkool content ya hii makitu Real Scorpion vodka………
Wageni waalikwa , naamini KakaKiiza Mentor Kipaji Halisi Teamo watakuwepo! mtanange wa wale walimbwende na vijivazi…hakika muumba amefanya kazi yake jamani…watoto mashaallaaaaah! Watakuwepo!!!
@Kaizer (uje banaa ntakulipia Flightlink kwani dola ngapi?!?!) Asprin (please niletee Msangi wangu) Vin Diesel na wakezo Mamndenyi KOKUTONA sijui na nani tena..... sosoliso saudari Ruttashobolwa Jiwe Linaloishi Fidel80 Boflo Bishanga –tajiri la roho na mwili (hhahahahaa - bia yako unainywea kwenye square bottle) Bujibuji Chachu Ombara. Madame B atakuwepo this time ataambatana na shemeji zetu Ben Saanane, Chili Chimbuvu, kiplagati26 na CHAI CHUNGU usimuache NTIBA. watu8 na famile yako bila kumsahau Baba V!Lol! Superman…uje utoe dose tafadhali!!!
@amu na kipenzy chako Nivea sweetlady, KING'asti – yani usipokuja kwa bamkubwaako ntakusutaje! cacico gfsonwin dompo inawahusu nyie!!! FirstLady FirstLady1 mwaJ, Zion Daughter, snowhite Swts Mjeda ataka kuwa –pempered na maladies wa ukwe'heeee….huenda akaacha posho yake yooote aliyolipwa kujikimu huko Darfur (shauri zenyuuuu) lara 1 Asnam marejesho et al nimeshaweka strawberry lips…..this time ntahakikisha mtu haibebi!!! mzabzab AshaDii Judgement
na wengine woooooooooooote wenye mapenzi mema kwa JFCC NA MJEDA!!! (Heee!!! na kwangu pia nani asotaka mapenzi mema)
Kutakuwa na sharbati za aina mbalimbali - detoxifying and cleansing juices etc
KARIBUNI SANAAAAAAAAAAAA TAREHE 22 MARCH PALE LEO TUPO HAPA PUB!!!!!!
( this time nina boooonge ya surprise kwa mkaka wa ukwe'he nitakayemnaniliu siku hiyoooo……………… stay tuned!!!)
mmxwaaahhh............
Kwa mara nyingine tena , katika jitihada za kuondoa makunyanzi usoni na moyoni…..famile ya CC inapenda kuwafahamisha kuwa bro wetu, rafiki, baba, bamdogo, bamkubwa wetu, babu yetu, mpenzi wetu MJEDA wa LEO TUPO HAPA Pub anatarajia kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa mnamo tarehe 22 March 2013
.:clock: Hakika amekula chumvi si haba!!!! Hivyo basi kama kaiwaida yetu majira ya kuanzia saa kumi na mbili jioni tukutane ndani ya leo tupo hapa kwa ajili ya surprise party kwa mpendwa wetu MJEDA kabla hajaenda DARFUR kulinda Amani kwa mtutu!!! (makubwaaa!!!!!)
Kma kawaida mzee Mtambuzi (mhh pole yako ya kushikwa ugoni na utakuja kueleza vizuri ilikuwaje maana…..!?!?!) ameshaandaa maulabu na viburudisho vya kumwaga!!! govinder kumar
Contesa
Wale matajiri wa kihaya kuna hizi kitu zenyuuu
Mjeda mwenyewe amekuja nah ii kitu spesheli MziziMkavu atupe analysis ya alkool content ya hii makitu Real Scorpion vodka………
Wageni waalikwa , naamini KakaKiiza Mentor Kipaji Halisi Teamo watakuwepo! mtanange wa wale walimbwende na vijivazi…hakika muumba amefanya kazi yake jamani…watoto mashaallaaaaah! Watakuwepo!!!
@Kaizer (uje banaa ntakulipia Flightlink kwani dola ngapi?!?!) Asprin (please niletee Msangi wangu) Vin Diesel na wakezo Mamndenyi KOKUTONA sijui na nani tena..... sosoliso saudari Ruttashobolwa Jiwe Linaloishi Fidel80 Boflo Bishanga –tajiri la roho na mwili (hhahahahaa - bia yako unainywea kwenye square bottle) Bujibuji Chachu Ombara. Madame B atakuwepo this time ataambatana na shemeji zetu Ben Saanane, Chili Chimbuvu, kiplagati26 na CHAI CHUNGU usimuache NTIBA. watu8 na famile yako bila kumsahau Baba V!Lol! Superman…uje utoe dose tafadhali!!!
@amu na kipenzy chako Nivea sweetlady, KING'asti – yani usipokuja kwa bamkubwaako ntakusutaje! cacico gfsonwin dompo inawahusu nyie!!! FirstLady FirstLady1 mwaJ, Zion Daughter, snowhite Swts Mjeda ataka kuwa –pempered na maladies wa ukwe'heeee….huenda akaacha posho yake yooote aliyolipwa kujikimu huko Darfur (shauri zenyuuuu) lara 1 Asnam marejesho et al nimeshaweka strawberry lips…..this time ntahakikisha mtu haibebi!!! mzabzab AshaDii Judgement
na wengine woooooooooooote wenye mapenzi mema kwa JFCC NA MJEDA!!! (Heee!!! na kwangu pia nani asotaka mapenzi mema)
Kutakuwa na sharbati za aina mbalimbali - detoxifying and cleansing juices etc
KARIBUNI SANAAAAAAAAAAAA TAREHE 22 MARCH PALE LEO TUPO HAPA PUB!!!!!!
( this time nina boooonge ya surprise kwa mkaka wa ukwe'he nitakayemnaniliu siku hiyoooo……………… stay tuned!!!)
mmxwaaahhh............