Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Sasa mambo ya kutishiana sana!!?
:nono::nono::nono::nono::nono::nono: hili siuliagiza la wife?? subiri hapaohapo nimpigiePaloma.. hizo bia na whisky wanywe wao.. Mie ombi langu hizo lips tu.. Nina IST imeshaingia bandarini.. Nasubiri nipewe jina nimuandikishe huyo mwenye hizo lips kwenye kadi ya gari hiyo.. Pia itaambatana na coupon ya mafuta kwa mwaka mzima.. Ajitokeze tafadhali mwenye hizo lips..
Ndio unajidanganya hivo mko wengi .stuka!!!!! Ben Saanane mko lukuki
Dah..Yani hii nimeikosa kweli hivihivi!!!!.....
Wadau wa JF CC, mwaonaje hali!?!?!?!eace:
Kwa mara nyingine tena , katika jitihada za kuondoa makunyanzi usoni na moyoni ..famile ya CC inapenda kuwafahamisha kuwa bro wetu, rafiki, baba, bamdogo, bamkubwa wetu, babu yetu, mpenzi wetu MJEDA wa LEO TUPO HAPA Pub anatarajia kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa mnamo tarehe 22 March 2013
.:clock: Hakika amekula chumvi si haba!!!! Hivyo basi kama kaiwaida yetu majira ya kuanzia saa kumi na mbili jioni tukutane ndani ya leo tupo hapa kwa ajili ya surprise party kwa mpendwa wetu MJEDA kabla hajaenda DARFUR kulinda Amani kwa mtutu!!! (makubwaaa!!!!!)
Kma kawaida mzee Mtambuzi (mhh pole yako ya kushikwa ugoni na utakuja kueleza vizuri ilikuwaje maana ..!?!?!) ameshaandaa maulabu na viburudisho vya kumwaga!!! govinder kumar
Contesaheheheheeeee . na Dompo!!!
Wale matajiri wa kihaya kuna hizi kitu zenyuuuna hizi
Mjeda mwenyewe amekuja nah ii kitu spesheli MziziMkavu atupe analysis ya alkool content ya hii makitu Real Scorpion vodka
Wageni waalikwa , naamini KakaKiiza Mentor Kipaji Halisi Teamo watakuwepo! mtanange wa wale walimbwende na vijivazi hakika muumba amefanya kazi yake jamani watoto mashaallaaaaah! Watakuwepo!!!
@Kaizer (uje banaa ntakulipia Flightlink kwani dola ngapi?!?!) Asprin (please niletee Msangi wangu) Vin Diesel na wakezo Mamndenyi KOKUTONA sijui na nani tena..... sosoliso saudari Ruttashobolwa Jiwe Linaloishi Fidel80 Boflo Bishanga tajiri la roho na mwili (hhahahahaa - bia yako unainywea kwenye square tin) Bujibuji Chachu Ombara. Madame B atakuwepo this time ataambatana na shemeji zetu Ben Saanane, Chili Chimbuvu, kiplagati26 na CHAI CHUNGU usmuache NTIBA. watu8 na famile yako bila kumsahau Baba V!Lol! Superman uje utoe dose tafadhali!!!
@amu na kipenzy chako Nivea @sweady, kingasti yani usipokuja kwa bamkubwaako ntakusutaje! cacico gfsonwin dompo inawahusu nyie!!! FirstLady mwaJ, @ zion daughter, snowhite Swts Mjeda ataka kuwa pempered na maladies wa ukweheeee .huenda akaacha posho yake yooote aliyolipwa kujikimu huko Darfur (shauri zenyuuuu) lara 1 Asnam marejesho et al nimeshaweka strawberry lips ..this time ntahakikisha mtu haibebi!!! mzabzab AshaDii Judgement
na wengine woooooooooooote wenye mapenzi mema kwa JFCC NA MJEDA!!! (Heee!!! na kwangu pia nani asotaka mapenzi mema)
KARIBUNI SANAAAAAAAAAAAA TAREHE 22 MARCH PALE LEO TUPO HAPA PUB!!!!!!
( this time nina boooonge ya surprise kwa mkaka wa ukwehe nitakayemnaniliu siku hiyoooo stay tuned!!!)
mmxwaaahhh............
ungemalizia tu ,mwite hapa uone ninavyomchamba si ashaniacha lolShemeji hivi kakaa ume muweka wapi?
mimi na wewe damu damu so hiyo kesi haina madhara, hata ikiwa na madhara Paloma ni mwingi wa huruma so atanisamehe bure!. miaafu wewe...............nna kesi na wewe! siku hiyo utaipata!!!
heshima yako Nivea. wakuache mtoto mdogo uje kwangu sababu ufalme wangu ni wako. miaungemalizia tu ,mwite hapa uone ninavyomchamba si ashaniacha lol