Rachel Mashishanga
Member
- Oct 16, 2012
- 30
- 25
Kama mtu kajiunga leo jf
tena na id yake ya kweli
tunapaswa kumkaribisha na kusubiri michango yake
sio kuanza leo leo 'kumponda'
wakati ndo kwanza anajiunga
Nilijua hiki kitatokea!wacha wapumue kaka,I guess humu ndo mahala pake! Kiongozi usiposemwa uongozi wako utakuwa wa mashaka
sasa tutafanya wengine waogope kujiunga
Waache wapumue kwani wanatambua uwepo wangu!Nililijua hili hivyo inawezekana ndo pa kupimulia humu!Kiongozi usiposemwa uongozi wako una mashaka!